Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Naunga mkonoMalezi mabovu ya wazazi na watoto kutokujitambua vinapelekea wawe na tabia za hovyo watoto wa rika langu niliosoma nao karibia wote wameishia la 7 wengine form 2 wengine 4 failure mbona mimi sikuishia hapo hii ni kutokana na wazazi wangu walipambana hawakutaka ujinga na sio suala la kuwa na hela
Huo uwanja kaka daaah 😁Uwanja wa fisi
Daaah hawa watoto kina mwaju ni balaa zito sana yaani tigo wanaichezea kihasara hasara tu....Ukipata demu wa kiswahili we peleka popote pale itazama ila wanaloga sana
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ngoja siku ukiwa mkubwa ndio utajua maisha ni nini. You're too young to understand what it takes to be a man.
Achana na maisha ya watu....Mkienda kijijni na wazazi wako nyie ukoo mzima mnaonekana wa maana sababu tu unaishi au unatoka huko uswazi.
Inshort mnakuwa kama popo hamueleweki. Wakipondwa wa mjini unajiweka mbali,wakisifiwa mnajileta.
Duuuh, alikuwa haingiliwi maamuzi na akisema leo utapata hela kweli inakuwa hivyo.Ungeoa mkuu ungekuwa Mbali hawana Tamaa Kabisa
Nimechekaaa yaaan mule muleee😄😄😄😄Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook
Na caption zao ni kama hizi
“Tamu yake mume wangu”
“Cha peke ako kaburi”
“Usiseme mume wangu sema mume wetu”
“ malaya wake mume wangu”
“Akinipenda mama inatosha”
“
“ Mama yake mwanangu
Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tabia na maisha ya uswazi ni ya kujitakia. Mbona mikoani huko vijijini watu wanaishi kwenye umaskini kuliko hata Uswazi lakini wakazi wake wana tabia nzuri? Ukitaka kujua wanawake wa Uswazi (siyo wote lakini asilimia kubwa) wana tabia za ajabu basi oa mmoja. Familia yetu ni wahanga wa kuoa Uswazi. Nyingi ya tabia zilizoelezewa hapa ni kweli. Na sasa hivi imeongezeka moja ya kufanya birthday (wenyewe wanaita besidei) na sherehe nyingine nyingi za kuiga wazungu kama babyshower. Ni ulimbukeni kwenda mbele. Vijembe vya zamani vya kwenye kanga siku hizi vimehamia kwenye Facebook na Insta.
Be thankful wazazi/ukoo wako wameiona dunia mapema na kujiongeza, of course pesa sio kila kitu kwa mtu kujitambua, wako we ye pesa kama majani lkn maisha yao ni ovyo hawajitambui, cha msingi kama umepata nafasi mungu akakufungulia dunia usiwadharau wenzio, haya ni maisha tu hata ujue kila kitu bado hakutokuwa na tofauti yoyote kama binaadamu.
Imepita bobuWanapenda kuvaa dera bila chupi.
Mafundi vitandani, ukienda kizembe lazima utangaziwe kuwa kimoko chali.
Maisha yao ya ngono sio siri. Kwao ni sifa kutangaza jinsi walivyofanywa na mabwana zao na ndio maana ni rahisi kutembea na marafiki hata 10 kutokana na jinsi wanavyohadithiana.
Hawana gharama kubwa za maintainance, kuanzia nywele mpaka kiatu inaweza isigharimu hata 50,000.
Wanapenda sana kuvaa sare. Ikitoka design mpya ya nguo sio ajabu ukakuta mtaa mzima kila mtu anayo. Na wanahakikisha inavaliwa mpaka iombe poo.
Hawana hiyana kwenye kugawa papuchi hivyo uzoee kugongewa.
Wanaamini mno katika shirki. Akiumwa kichwa lazima aende kwa babu kutazamia.
Wanapenda sana ugomvi, kitu kidogo tu wanachapana.
Wana asili ya uchafu, mtu kuamka na kuanza kuzurula mji mzima bila kuoga ni kawaida.
Wanapenda sana kuazimana vitu. Sio ajabu wakaazimana mpaka chupi.
Nimechekaaa yaaan mule muleee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa ulikwama wap?Duuuh, alikuwa haingiliwi maamuzi na akisema leo utapata hela kweli inakuwa hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanapenda kuvaa viatu vya manyoya
Duh!!,Noma sana.Wanajua kuikatikia.
Unaweza hongo chipsi kavu mbili ukala familia yote.
Ukiwaripia pango la nyumba wanakuita freemasons
Asante sana mkuu. Mkuu, katika haya maisha hakuna aliyeomba azaliwe katika hali fulani ya ufukara ama utajiri. Ni nature tu ndio inachagua randomly kuwa huyu azaliwe wapi na mtu anapopata ufahamu ndio anatambua kuwa amezaliwa na baba fukara ama tajiri.Unaonekana ni mtu muungwana Sana. Uishi milele mkuu[emoji120]
Vijana waliozaliwa miaka ya 2000 wanaweza kuona mtu anaongea mwenyewe barabarani wakajua amependa ama anaigiza kumbe kuna mazito anayapitia katika maisha yake. Utu uzima ni mzigo wa mwiba.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji120]