Ramon Sanchez
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 767
- 1,850
Hongera sana kwa mama yako. All in all, tuwasaidie wenzetu wenye uhitaji kadri ya uwezo wetu.Uzuri nimelelewa na mama angu Baba yangu akitangulia nikiwa na umri wa miaka 8 so nimepambaniwa na mama yangu na nashukuru bi mkubwa hapendi ujinga
Acha hizo basi, hujaona humu watu tunalia tunatafuta kazi hata za kulipwa 100,000/=We huwajui watu wa JF,wote kwao Masaki,wote ni matajiri,wote Wana magari, wakati kiuhalisia hiii
Acha hizo basi, hujaona humu watu tunalia tunatafuta kazi hata za kulipwa 100,000/=We huwajui watu wa JF,wote kwao Masaki,wote ni matajiri,wote Wana magari, wakati kiuhalisia hiii
๐Wewe umefika chuo kikuu kwa sababu baba yako ni tajiri. Hongera sana.
+++++++++[emoji849][emoji849][emoji849]Mbona umekazana kukejeri watu nani huyo ana kejeri wenzio tumetaja tabia zao hatujawakejeli hata wakileta mada za wanawake wa ushuwani tutatoa tabia zao so be positive
Sure[emoji817][emoji817][emoji106]Vijana waliozaliwa miaka ya 2000 wanaweza kuona mtu anaongea mwenyewe barabarani wakajua amependa ama anaigiza kumbe kuna mazito anayapitia katika maisha yake. Utu uzima ni mzigo wa mwiba.
Nimemcheka nani sasa hapo mwanetu au hujaelewa hata uzi umelenga nini? Hakuna aliecheka hapa labda umeelewa tofauti.....Usicheke umasikini wa mtu. Usimcheke mwenye dhiki kwa maana hakuomba azaliwe kwenye ufukara.
[emoji23]Wanatusitiri saana, hawana vibomu vikubwa, ukimnunulia kijora cha shughuli umekula.
Tunawala saana kwa marejesho ya halichachi, kausha damu.
Guest ya elfu 5 tu na chips kavu umekula mzigo, tena wakati mwingine hyo hyo buku 5 ukimpelekea kwake unakula mzigo kibosi tu, na maji ya kuoga unachemshiwa.
Hapo ndipo wajuba tunapogoma kuoa, maziwa napata, nyama napata, ya nini kufuga ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa uswazi oyeeee..[emoji1787][emoji1787]
Mbona mm wote ninaokutana nao wananikakiza Tigo aisee,Wanatoa Tigo hatari
Sawa mkuu. Labda mimi ndio nina shida ya uelewa.Nimemcheka nani sasa hapo mwanetu au hujaelewa hata uzi umelenga nini? Hakuna aliecheka hapa labda umeelewa tofauti.....
Pole sana mkuu. Mungu atakupa yaliyo mema siku moja.Acha hizo basi, hujaona humu watu tunalia tunatafuta kazi hata za kulipwa 100,000/=
Umemeza mate๐๐Ewaaaa ๐๐๐๐๐
Watu tunatoka ushuani huko kwenda uswahilini kufata chicken legs๐๐Halafu Kuna mpuuzi anasema eti nihamie Masaki๐๐๐
Na kaugali pembeni au vindizi๐๐๐ ๐[emoji39][emoji39][emoji39] chachandu hapo ikolee mbilimbi igwaduke na pilipili waeke zile kichaa, ukila mpk tumachozi
Ngwala ni hatari sana๐คฃWatu tunatoka ushuani huko kwenda uswahilini kufata chicken legs๐๐
Halina ubishiโฆ ina virutubisho vyote..Nasikia chakula pendwa Afrika Kusini
Au viazi vizimavizima mviringo๐Na kaugali pembeni au vindizi๐๐๐ ๐
Hawajui kujishusha. Ukidate naye kama mchipuko atataka ampindue wife kutoka kwenye nafasi yake na ikibidi hata kumroga ili abaki peke yake. Wapuuzi sana hawa wanawake.Ngoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo
1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula.
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga.
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri, akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija.
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu.
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua; mama, bibi, shangazi, nk.
6. Wanapenda mikopo kausha damu, huku hawana biashara yoyote.
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli.
Ongezea mengine kama yapo.