Mwanamke wa uswahilini

Uzuri nimelelewa na mama angu Baba yangu akitangulia nikiwa na umri wa miaka 8 so nimepambaniwa na mama yangu na nashukuru bi mkubwa hapendi ujinga
Hongera sana kwa mama yako. All in all, tuwasaidie wenzetu wenye uhitaji kadri ya uwezo wetu.
 
Wanakurupuka asubuhi kwenda dukani huku miswaki ikiwa mdomoni povu likiwa limetapakaa mdomoni, wakiwa wamevaa kanga moja na kujifunga taulo
 
Huu uzi na ule wa kina junior toto tundu sijui upi unaongoza kwa kuumiza mbavu..๐Ÿ˜
 
Mbona umekazana kukejeri watu nani huyo ana kejeri wenzio tumetaja tabia zao hatujawakejeli hata wakileta mada za wanawake wa ushuwani tutatoa tabia zao so be positive
+++++++++[emoji849][emoji849][emoji849]
 
[emoji23]
 
Hawajui kujishusha. Ukidate naye kama mchipuko atataka ampindue wife kutoka kwenye nafasi yake na ikibidi hata kumroga ili abaki peke yake. Wapuuzi sana hawa wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ