Mwanamke wa uswahilini

Hiyo number 4 uko sahihi sana, nimeona wengi wamelink wadada wa uswahili na uchafu kitu ambacho si Cha Kweli,hakuna wadada wasafi kama wa uswahili,wanajua kusafisha nyapu zao Hadi Kwa utambi wa kibatari ,kutumia limao,nk.jambo ambalo ni risky hata Kwa afya zao,am sure mtoto wa ushuani hajui chochote kuhusu hizo technique.wanajipulizia udi wao na chumba Chao kimoja kimepangwa mpaka utashangaa,yaani wenyewe suala la ngono ni kipaumbele na linakwenda sambamba na usafi......hao wachafu ni wa kienyeji sio wa uswahilini
 
Uko sahihi sana,matusi kwao kawaida sana wana midomo michafu balaaa maneno makali tu.
 
Source of income lazima ipigwe msasa vema
 
Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook

Na caption zao ni kama hizi

“Tamu yake mume wangu”

“Cha peke ako kaburi”

“Usiseme mume wangu sema mume wetu”

“ malaya wake mume wangu”

“Akinipenda mama inatosha”

“ Mama yake mwanangu

Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona unawajua sana,una uhakika we sio majirani zako?😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…