Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

1. Ni wazuri wa asili ukiona mbaya katika mkoani kajichanganya
2.Wanaishi maisha yasiyo ya maiagizo
3 . Wanajua kutunza Siri za ndani
4. Ni Wasafi wa mwili ukiona mchafu basi ni WA kienyeji sio wa uswazi
6. Wqnapenda kuvaa Madera na nguo zenye stahak
7.Wanaheshimu waume zao.
Hiyo number 4 uko sahihi sana, nimeona wengi wamelink wadada wa uswahili na uchafu kitu ambacho si Cha Kweli,hakuna wadada wasafi kama wa uswahili,wanajua kusafisha nyapu zao Hadi Kwa utambi wa kibatari ,kutumia limao,nk.jambo ambalo ni risky hata Kwa afya zao,am sure mtoto wa ushuani hajui chochote kuhusu hizo technique.wanajipulizia udi wao na chumba Chao kimoja kimepangwa mpaka utashangaa,yaani wenyewe suala la ngono ni kipaumbele na linakwenda sambamba na usafi......hao wachafu ni wa kienyeji sio wa uswahilini
 
Nilipata mmoja wapo jmn nikajidanganya kufall in love na yeye, nimekula mara 4 mara ya 5 akanipa Gono kmmK, nilimwambia ukweli kuwa cjakutana na m/mke mwngn yyte kimwili tng nianze kuwa nae akawa anajiumauma nikamjibu tu ujatulia mpuuzi wew mara.

Kiukweli kubajeti pesa hawajui, Ni Wana midomo michafu matusi kwao km salamu, kauli mbovu, Wana viburi ingali maisha yao Ni duni balaa, imani za kishirikina kwao Ni tamaduni,

Ila kitandani jmn wale viumbe Ni nyoko balaa, kwa hili tu ndio nawapongeza na kuwapa nyota zao 5...[emoji23] Ni mafundi sio mchzo
Uko sahihi sana,matusi kwao kawaida sana wana midomo michafu balaaa maneno makali tu.
 
Hiyo number 4 uko sahihi sana, nimeona wengi wamelink wadada wa uswahili na uchafu kitu ambacho si Cha Kweli,hakuna wadada wasafi kama wa uswahili,wanajua kusafisha nyapu zao Hadi Kwa utambi wa kibatari ,kutumia limao,nk.jambo ambalo ni risky hata Kwa afya zao,am sure mtoto wa ushuani hajui chochote kuhusu hizo technique.wanajipulizia udi wao na chumba Chao kimoja kimepangwa mpaka utashangaa,yaani wenyewe suala la ngono ni kipaumbele na linakwenda sambamba na usafi......hao wachafu ni wa kienyeji sio wa uswahilini
Source of income lazima ipigwe msasa vema
 
Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook

Na caption zao ni kama hizi

“Tamu yake mume wangu”

“Cha peke ako kaburi”

“Usiseme mume wangu sema mume wetu”

“ malaya wake mume wangu”

“Akinipenda mama inatosha”

“ Mama yake mwanangu

Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook

Na caption zao ni kama hizi

“Tamu yake mume wangu”

“Cha peke ako kaburi”

“Usiseme mume wangu sema mume wetu”

“ malaya wake mume wangu”

“Akinipenda mama inatosha”

“ Mama yake mwanangu

Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unawajua sana,una uhakika we sio majirani zako?😁😁
 
Back
Top Bottom