nitatoboa kweli
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 137
- 454
wewe wakishua kumbe? na husemi?🤣🤣🤣🤣kweli wakishua mnajua kutunza siriWanapenda kuvaa viatu vya manyoya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe wakishua kumbe? na husemi?🤣🤣🤣🤣kweli wakishua mnajua kutunza siriWanapenda kuvaa viatu vya manyoya
aaa wakishuaaaa🤣unaishi upanga sehemu gani?Wengi wanapata watoto wakiwa na umri kati ya 13-15
Hawajui kuandika
Uchafu
Umeua, yaani nilikutana naye mmoja, alinipenda hadi kunipigania ila nyumbani hatulii nikamtimua, ila hadi leo ananifahamu haswaaa1. Hawajui kuigiza wala kuendana na drama za world class life za tiktok, akipenda safari atakunywa na ukimuagizia chakula, hawavungi kukimaliza na kufunga, ukitaka kuona wanawake halisi, nenda uswazi 😁
2. Ni wanawake wavumilivu na wastahimilivu maana wao huamini katika ridhki ndio maana wanaolewa hata na mwanaume anaemiliki chumba kimoja.. Labda uwe mdhembe wa kutafuta ndio utaachwa
3. Wanajua kupika na wana haiba ya kike.. Watoto wa uswazi wanakuzwa kwa ajili ya ndoa kama fanikio na jukumu la kwanza hivyo, wengi huelewa mwanaume anahitaji nini zaidi, kwa maneno na vitendo
4. Hawana choyo na wana utu sanaaaa, yaani kwenye mambo kama msiba hakuna sehemu watu hufarijiwa kwa asilimia zote kama uswazi. Vitu kama sufuria, viti, wapishi na wahudumu sio kitu cha kusababisha stress sababu mashoga na majirani zake watamaliza kazi
5. Ni wanawake wapiganaji, ukisikia kina diamond, ommy dimpoz na wengine wakitoa shuhuda za mama zao kuwapigania, bhasi ujue ni waswazi. Wapo tayari kufanya lolote pale inapoonekana njia kwa familia na watoto wao, ukitaka zile total sacrifice for love, utaikuta kwa wanawake wa uswazi
Kweli kuna mmoja akiwa bar anamuaga bwanake anaenda chooni mara moja, anajificha mahali anapandisha dela wana wanapiga miti anarudi mezani kwa bwanake kula bia.Wanavaa dela mda wote popote tu pale kambi wanapandisha tu juu
Nilikuwa sijui kusuka twende kilioni kumbe nao ni uswahili[emoji15],, ,,1.Wanapenda kuvaa madela.
2.Simu zao zina mapambo ya mdori.
3.Wanapenda kusuka 'twende kilioni', ila wakipata wanasuka 'yebo'.
4.Ukimhonga elfu 10 ni kama umempa laki moja.
Ungeoa mkuu ungekuwa Mbali hawana Tamaa KabisaUmeua, yaani nilikutana naye mmoja, alinipenda hadi kunipigania ila nyumbani hatulii nikamtimua, ila hadi leo ananifahamu haswaaa
Tulia wee LegendJamani tumewakosea nini, mbona kutusema hivyo asubuhi asubuhi yote hii hata chai hatujanywa😃😃😃
Wapo hivyo sema ukitaka lifestyle za kishua hawaendani nazo.. Ila ukimpata aliyetulia, ushindwe wewe tu 😁Umeua, yaani nilikutana naye mmoja, alinipenda hadi kunipigania ila nyumbani hatulii nikamtimua, ila hadi leo ananifahamu haswaaa
Ukiwezana nao 😁😁🙏🏽🙏🏽Kwa ufupi ni wife material[emoji182][emoji182][emoji182][emoji120][emoji817]
Si ajabu wa Kishua kutoka Masaki....Ndiyo
KabisaUkiwezana nao [emoji16][emoji16][emoji1431][emoji1431]
Jamani tumewakosea nini, mbona kutusema hivyo asubuhi asubuhi yote hii hata chai hatujanywa[emoji2][emoji2][emoji2]
Hahahaaaa....Nilikuwa sijui kusuka twende kilioni kumbe nao ni uswahili[emoji15],, ,,
Ee ndyo 😃😃Chai na mihogo
AhaaaView attachment 2703494
Wananuka kwapa na mdomo balaa.