mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Looooh huko masaki sipajui,ni wapi?Si ajabu wa Kishua kutoka Masaki....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looooh huko masaki sipajui,ni wapi?Si ajabu wa Kishua kutoka Masaki....
Jamaa angu mmoja alipata laki 6 tu ikaenda kwenye shughuli kigoma cha uruguay kilihusika 😁😁😁Umejibu kiswahili kabisa, laki nayo pesa wakati familia nzima hakuna aliyewahi kukaa na laki benki au kwenye sm yani akaitunza tu mwezi mmoja hakuna, kila pesa inapewa shughuli
Nywele zangu pendwa twende kilioni,Hahahaaaa....
Hiyo ni hulka ya mtu mzeya.Umesahau kusema wanajua sana kufanya ngono
Nawe wazionaje hizo shanga?Wanavaa shanga kiunoni za bukubuku
Kwani dhambi???????
Umeona eeeeeh[emoji23]Nilichogundua wanaume wa humu ni WA uswahilini watupu[emoji28][emoji28][emoji28]
Wenyewe ndio vya kupigia misele townNa hivi viatu ni maalumu kwa kushindia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengi mikorogo imedunda sababu ya lishe duni
So funnyWenyewe ndio vya kupigia misele town
Ni mapenzi tu na hivyo viatu ujuwe,binafsi sijawahi kuvivaa lkn kuna dogo anavipenda balaa.Wenyewe ndio vya kupigia misele town
Kuna vingine ni vizuri Sana Ila ndio hivyo kama ulivyosema ni mapenzi.Ni mapenzi tu na hivyo viatu ujuwe,binafsi sijawahi kuvivaa lkn kuna dogo anavipenda balaa.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Hicho hatari sana,hapa Kuna habiba pale Kuna semeni wee ni BALAAA🤣🤣Eti kigoma cha uruguay....😁😁
Ndiyo kuna mengine yale manene khaa, kuna vingine vizuri sana,Kuna vingine ni vizuri Sana Ila ndio hivyo kama ulivyosema ni mapenzi.
Mwenyewe sijawahi kuhamasika kununua
Wanaloga bro, kama huna Imani utachukuliwa msukule mpaka ufilisikeNgoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo
1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua mama, bibi, shangazi nk
6. Wanapenda mikopo kausha damu, uku hawana biashara yoyote
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli
Ongezea mengine kama yapo
HahaaSo funny
Jibu linajitosheleza1) Mwanamke kujipamba.
2) Bajeti si ufanye wewe mtafutaji, laki nayo umeiona pesa ya maana siku hizi?
3) Unataka siri si uhame Uswahilini, nyumba yenyewe wapangaji kibao.
4)Khaa, kwani nyumba ya geti hamna majirazni?
5) Hayo siyo Uswahilini, hukohuko kwenu. Uswahilini hatuna "mahusiano" ama unaoa ama unasepa.
Bila "waswahili" ungejuwa Kiswahili wewe? tupishe huko.
Halafu mtu kama huyo anasema "mimi msomi".
Punguani wahed.
Ukishapita Gongo la Mboto, Kisarawe kuelekea MsangaLooooh huko masaki sipajui,ni wapi?