Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook

Na caption zao ni kama hizi

“Tamu yake mume wangu”

“Cha peke ako kaburi”

“Usiseme mume wangu sema mume wetu”

“ malaya wake mume wangu”

“Akinipenda mama inatosha”

“ Mama yake mwanangu

Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Xaxa xi mtuache,tumewakoxea nini,

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom