Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Af unakuta huyo somo kashaachika kama mara 20 ndoaniKama kawaida yaani.....yaani wenyewe Kuna mashangazi zao hao wanayaita somo yanawafundisha mbinu za kuzagamuana na usafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Af unakuta huyo somo kashaachika kama mara 20 ndoaniKama kawaida yaani.....yaani wenyewe Kuna mashangazi zao hao wanayaita somo yanawafundisha mbinu za kuzagamuana na usafi
Xaxa xi mtuache,tumewakoxea nini,Wanapenda sana kujipostpost haswa facebook
Na caption zao ni kama hizi
“Tamu yake mume wangu”
“Cha peke ako kaburi”
“Usiseme mume wangu sema mume wetu”
“ malaya wake mume wangu”
“Akinipenda mama inatosha”
“
“ Mama yake mwanangu
Kiufupi wana caption za hovyooo halafu wanapenda kutumia vifupisho kama xaxa cjui ln 2taonana ,,
[emoji23][emoji23][emoji23]
ha haaaaaaaaaaaaaaSource of income lazima ipigwe msasa vema
KabisaaAisee, kumekucha huko uswahilini
Kwakweli inabidi ninunue na mimi saizi,, napitwa na mengi kumbe 😂😂😂😂😂Mwanamke unakosaje Dela aseeee hasa vijora?acheni zenu za Uzungu hizo......mi Nina vijora vikali kumi😁😁😁😁
Mwanamke kijora babu,,Tafuta chenye rangi za kuvutiaa,,uko zako home unapikapika mashemeji zako wamekuja umeoga umejisitri, ukiingia room na Mzee dkk sifuri kijora kimeshavulika acheni kujibanabana na hizo jeans😁😁Kwakweli inabidi ninunue na mimi saizi,, napitwa na mengi kumbe 😂😂😂😂😂
NakaziaMwanamke kijora babu,,Tafuta chenye rangi za kuvutiaa,,uko zako home unapikapika mashemeji zako wamekuja umeoga umejisitri, ukiingia room na Mzee dkk sifuri kijora kimeshavulika acheni kujibanabana na hizo jeans😁😁
Wakitembea linafagia barabara nzima..huku bega moja liko wazi 😁😁😁Vazi lao kuu ni madera hasa wakiwa nyumbani
Tatizo wenyewe kuachika sio issue kabisaaa,,wameshakubaliana ukiona unateseka bwaga!Af unakuta huyo somo kashaachika kama mara 20 ndoani
Uwanja wa fisiUpo mtaa gani man...
We sio Dulla Kweli wewe,Haya mambo ya bega wazi umeyajuaje😁?au ndio ulikuja kutembelea tuWakitembea linafagia barabara nzima..huku bega moja liko wazi 😁😁😁
Wengi ni darasa la sana au la tano au ameishia la nne😁😁Akikuandikia sms utacheka.
Au umkute dukani na karatasi utacheka muandiko.
Nadhani wazazi wao ndo wana matatizo.
Kuna sehemu ni danguro na wazazi wapo hawafanyi kitu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Dah Hadi Lenie wa ushuani umevielewa?basi hiyo imeendaNakazia
Hujawa mwanamke kamili kama huna vijora kuanzia vi3😂
UONGO...Wengi ni darasa la sana au la tano au ameishia la nne😁😁
Hawataki stress kabisaaTatizo wenyewe kuachika sio issue kabisaaa,,wameshakubaliana ukiona unateseka bwaga!
Zile ni saa mbovu.Hawataki stress kabisaa
Ushuani wapi ndugu, me product ya kwa Mtogole mojaaa🤣🤣🤣🤣🤣Dah Hadi Lenie wa ushuani umevielewa?basi hiyo imeenda