La saba kushuka chini kama ni o level basi ya hali mbaya.UONGO...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La saba kushuka chini kama ni o level basi ya hali mbaya.UONGO...
Hamna,we unaoneka umekulia Chole road wewe😁😁Ushuani wapi ndugu, me product ya kwa Mtogole mojaaa🤣🤣
Siku hizi suala la elimu limepanuka sana hizo unazoongelea wewe ni zama za nyuma,ambazo wazazi wengi walikuwa wanapeleka watoto madrasa wakasome ilmu akhera na sio shule ilmu dunia,ila kizazi Cha Sasa uswahilini wanasoma vizuri tu,shule za kata zimejaa watoto mpaka hawana pa kukaa,kwani huko vyuoni hamkutani na kina Habiba?La saba kushuka chini kama ni o level basi ya hali mbaya.
Madem wa uswaz kuna party zisizo rasmi, birthday au kumtoa mtoto hapo kukesha lazima na kigoma Cha uruguay
Uswahilini raha sana.
Toto zuriiiiii linakula zake utumbo wa kuku na vichwa,chachandu kibao na ugali wake hawana habari
Nilikuwa nashangaa huu uzi mbona kama wenye kwetu hawajauona🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kigoma cha uruguay teena kinavyobamba
🤣🤣🤣🤣Hamna,we unaoneka umekulia Chole road wewe😁😁
Kwakweli atuachie wenyewe....Mambo yao waachie wenyewe... Ila wapo poa sana...
Hayo sio maisha ya kusifiaUswahilini raha sana.
Toto zuriiiiii linakula zake utumbo wa kuku na vichwa,chachandu kibao na ugali wake hawana habari
1) Mwanamke kujipamba.
2) Bajeti si ufanye wewe mtafutaji, laki nayo umeiona pesa ya maana siku hizi?
3) Unataka siri si uhame Uswahilini, nyumba yenyewe wapangaji kibao.
4)Khaa, kwani nyumba ya geti hamna majirazni?
5) Hayo siyo Uswahilini, hukohuko kwenu. Uswahilini hatuna "mahusiano" ama unaoa ama unasepa.
Bila "waswahili" ungejuwa Kiswahili wewe? tupishe huko.
Halafu mtu kama huyo anasema "mimi msomi".
Punguani wahed.
Hakuna mswazi asiyetumia AnalDah.... unatukandia sana punguza dozi kidogo
Ongeza idadi bado kabisa.... mimi vinafika sasa karibu pc 50Mwanamke unakosaje Dela aseeee hasa vijora?acheni zenu za Uzungu hizo......mi Nina vijora vikali kumi😁😁😁😁
Ukipata demu wa kiswahili we peleka popote pale itazama ila wanaloga sanaMungu awasaidie aiseee [emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji24]
Vijora pambe mnavyoo au ndio Cha chuichui?
Wamejaa Packers na midela yao wanasubiria miujizaKwani dhambi???????
Nilijua tu lazima unichokoze,
Mie wa uswazi ndiyo[emoji108]
Urithi wa bibi.......🤣Source of income lazima ipigwe msasa vema
Urithi wa bibi.......[emoji1787]