Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Tunamfata na matarumbeta mbona, na ilo vagi lake ataliweza? Atatoa vyetu na visivyo vyetu nakwambia huku camera za mawingu tv zinamchukua mubashara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza hapo tuna Dera letu la sare,,na keki yetu tumebeba imeandikwa""Aso Fadhila ,Hafadhiliki" hapo Kuna matarumbeta hapa Kuna kigoma Cha Uruguay ni kisangaaa
 
Kwanza hapo tuna Dera letu la sare,,na keki yetu tumebeba imeandikwa""Aso Fadhila ,Hafadhiliki" hapo Kuna matarumbeta hapa Kuna kigoma Cha Uruguay ni kisangaaa

Pambeeeeee!!! [emoji108]

Hekaheka iko hewani live na Gea udugu atajua hajui!!!

Tukifika kwanza wapambe wangu wanasafisha njia afu mwenyewe sasa napiga msamba kisha natingisha nyash kuonyesha nimefika. “NATAKA VITU VYANGU” [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pambeeeeee!!! [emoji108]

Hekaheka iko hewani live na Gea udugu atajua hajui!!!

Tukifika kwanza wapambe wangu wanasafisha njia afu mwenyewe sasa napiga msamba kisha natingisha nyash kuonyesha nimefika. “NATAKA VITU VYANGU” [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila Akili za watu wa kwetu ni raha sana,si waume si wanawake ni wehuuuu
 
Ngoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo

1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula.
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga.
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri, akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija.
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu.
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua; mama, bibi, shangazi, nk.
6. Wanapenda mikopo kausha damu, huku hawana biashara yoyote.
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli.

Ongezea mengine kama yapo.
Wachafu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila Akili za watu wa kwetu ni raha sana,si waume si wanawake ni wehuuuu

Uswazi raha sana, kule tuna stress za kununua vijora vipya tu! Mabwana wa ushuhani wakituonja wanataka watumiliki kwa mijudo tunayowarukia kwenye uwanja wa fundi seremala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tatizo wanataka kutumiliki na sie hayo mambo sio yetu, tunataka kuonyesha ujuzi kwa watu mbalimbali [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Uswazi raha sana, kule tuna stress za kununua vijora vipya tu! Mabwana wa ushuhani wakituonja wanataka watumiliki kwa mijudo tunayowarukia kwenye uwanja wa fundi seremala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tatizo wanataka kutumiliki na sie hayo mambo sio yetu, tunataka kuonyesha ujuzi kwa watu mbalimbali [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Mnataka kuutendea kazi profession🤣🤣🤣🤣🤣utakuta maskini mkaka na Vanguard yake amemfuata MwaJ,Sasa hiyo mikogo ya Mwa J utadhani ndio keshapewa kadi ya Vanguard.........
Hamisa Mobetto anatuwakilisha vyema sana watoto wa uswazi🤣
 
Mnataka kuutendea kazi profession🤣🤣🤣🤣🤣utakuta maskini mkaka na Vanguard yake amemfuata MwaJ,Sasa hiyo mikogo ya Mwa J utadhani ndio keshapewa kadi ya Vanguard.........
Hamisa Mobetto anatuwakilisha vyema sana watoto wa uswazi🤣
Yaani Diamond alikuwa anatoroka ushuani anaenda Uswazi ya Kiwalani mpaka alipofumwa.
 
Mnataka kuutendea kazi profession[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utakuta maskini mkaka na Vanguard yake amemfuata MwaJ,Sasa hiyo mikogo ya Mwa J utadhani ndio keshapewa kadi ya Vanguard.........
Hamisa Mobetto anatuwakilisha vyema sana watoto wa uswazi[emoji1787]

Na wanatulilia mpk machozi km watoto na Vanguard zao, wanasema tuache uswahili wa kugawa kwa kila mtu!!

Jotroo la kei linawavuruga hawajawahi kuona kwa washua wenzao, kisamaki kingi wavuvi kempu inacheua

Hamisa ndio role model wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mnataka kuutendea kazi profession🤣🤣🤣🤣🤣utakuta maskini mkaka na Vanguard yake amemfuata MwaJ,Sasa hiyo mikogo ya Mwa J utadhani ndio keshapewa kadi ya Vanguard.........
Hamisa Mobetto anatuwakilisha vyema sana watoto wa uswazi🤣
Yule sasa hivi anasambaza ujuzi duniani huko🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom