Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Tatizo JF wote wanajifanya wa ushuani ila ukiangalia wanavyochambua huko uswahilini unabaki kujiuliza huyu mbona kama yule jirani yangu Beka🤣🤣?
Unataka kuwaharibia watu brand zao 😁😁, wengine tumekua sehemu nyingi kiasi cha kuzijua lifestyles tofauti na hatuvungi 😁
 
Wanapenda kuvaa dera bila chupi.

Mafundi vitandani, ukienda kizembe lazima utangaziwe kuwa kimoko chali.

Maisha yao ya ngono sio siri. Kwao ni sifa kutangaza jinsi walivyofanywa na mabwana zao na ndio maana ni rahisi kutembea na marafiki hata 10 kutokana na jinsi wanavyohadithiana.

Hawana gharama kubwa za maintainance, kuanzia nywele mpaka kiatu inaweza isigharimu hata 50,000.

Wanapenda sana kuvaa sare. Ikitoka design mpya ya nguo sio ajabu ukakuta mtaa mzima kila mtu anayo. Na wanahakikisha inavaliwa mpaka iombe poo.

Hawana hiyana kwenye kugawa papuchi hivyo uzoee kugongewa.

Wanaamini mno katika shirki. Akiumwa kichwa lazima aende kwa babu kutazamia.

Wanapenda sana ugomvi, kitu kidogo tu wanachapana.

Wana asili ya uchafu, mtu kuamka na kuanza kuzurula mji mzima bila kuoga ni kawaida.

Wanapenda sana kuazimana vitu. Sio ajabu wakaazimana mpaka chupi.
Acha kuwafanyia dhihaka waishio kwenye ufukara. Hongera wewe uliyezaliwa Mbezi Beach na Masaki.
 
Tatizo wengi weo humu wanavunga sio wa uswazi wakati wanaoneka wanajua vichochoro vyote vya keko toroli😁
Ila joa igweeeee 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
inaonekana unakata mitaa sana maana umekariri chocho na majina ya vituo kama konda wa daladala 😁😁
 
Ngoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo

1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula.
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga.
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri, akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija.
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu.
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua; mama, bibi, shangazi, nk.
6. Wanapenda mikopo kausha damu, huku hawana biashara yoyote.
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli.

Ongezea mengine kama yapo.
Hao watakuwa wa kuja uswahili, Iswahilini ni Waislam, hawana ujinga ujinga. Mwanamke wa Kiislam anaefata Uislam wake utampata wapi wewe.

Mnadanganyana tu hapa.
 
Back
Top Bottom