Mwanamke wa uswahilini

Mwanamke wa uswahilini

Wnavaa vitambaa kichwan kama 50 cent [emoji23][emoji23]
Kwetu Huku Ni mwendo wa Durah kichwani
images%20(31).jpg
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
nimechekaa ndugu zangu wote tupo Swazi kwani wazaramo tuna kijiji kingine zaidii ya Dar es Salaam ukiachana na msangaa hukooo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimechekaa ndugu zangu wote tupo Swazi kwani wazaramo tuna kijiji kingine zaidii ya Dar es Salaam ukiachana na msangaa hukooo
Ok... naamini umesoma. Changamoto za ndugu zetu unazielewa. Tubaki nazo vifuani so vizuri kuwapa watu cha kuongea. Wakati huo huo tunatafuta njia ya kuwashawishi wabadilike tusiwalaumu wala kuwasanifu. Historia na nyakati za kiutawala ziliwafanya wakose ulichonacho wewe sasa. Uliweza kuamka mapema. Lakini sababu za historia Sasa hazina mashiko. Tuendelee kuwashika mkono. Ukifanikisha hata mmoja sio mbaya....

Note...usije kuwaambia waache kucheza ngoma, utachambwa!😂
 
Kamata kuku hapo tengeneza chicken legs.. chachandu yako pembeni songa na kaugali kako uinjoi😋😋
Kuna ladha tofauti sana wa kupika nyumbani na wale wa kwa wauza miguu. ya kuku. Alafu Mimi ugonjwa wangu vimoyo na vikund*. Ukinipa sijui paja na hivyo nakuachia paja. Labda kiwe kidari au firigisi
 
wanakuwaga na haraka, ukimwaga kimoko hawana muda wa kusubiria chapili, labda uunganishe [emoji23][emoji23]
 
Nikimwacha demu wa kihaya baada ya kuwa mswahili kuliko
Kwa kifupi nimekulia uswahilini ila sipendi uswahili
Kuazimana mboga mtaa mzima ni kawaida
Kuosheana pindi akifanikiwa
Kuchukuliana mabwana
Kulawitiwa ndio zao
Ujuaji mwingi ngali ni WA shamba sana
Ukifulia unaachwa on the stop Kwa vijembe
Kuchambana
Umbea na kuzungumza ya watu
Wavivu hata kufikiria
Kukuwadiana sio ishu kwao
Msimu wa sikukukuu ukimnunulia mavasi unatunukiwa
Wachawi
Hawana Siri
Hawaoni ishu kumwaibisha mwingine
Kula sio ishu kwao
Wanacheza michezo na upatu na vikoba sana
Marejesho ya vikoba hulipwa na hawara
 
Back
Top Bottom