Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Sio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Dah 🤣🤣🤣 Ni kweli nilimpenda! Lakini unapaswa kuelewa Unaweza ukawa mtu sahihi kwa mtu lakini yeye asiwe sahihi kwako
 
Sio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Huwa niki Sena we ni mkimbizi?!, Una semaga naku onea?!.
👉Hiyoo roho yako ni ya kigeni kabisa😆🤔
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
We jamaa nae bana..

Kama mtu alishakuacha, huo mda wa kuhangaika kwenda kumtafuta ili umuonyeshe magari uliyo nayo unaupata wapi? Dont u hav a life? Huna mambo ya maana ya kufanya? Huja move on?

Ina maana tangu uachane nae mwaka 2018 mpaka leo miaka karibu 7 we bado unamuwaza yeye tuu? Huna wanawake wengine wakuku keep busy?
 
We jamaa nae bana..

Kama mtu alishakuacha, huo mda wa kuhangaika kwenda kumtafuta ili umuonyeshe magari uliyo nayo unaupata wapi? Dont u hav a life? Huna mambo ya maana ya kufanya? Huja move on?

Ina maana tangu uachane nae mwaka 2018 mpaka leo miaka karibu 7 we bado unamuwaza yeye tuu? Huna wanawake wengine wakuku keep busy?
Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie Msiba
 
Back
Top Bottom