Niimemaliza Chuo mwaka 2018 nikaoetea dili kadhaa za pesa na kabla sijafanyia pesa jambo lolote nilikuwa na ndoto ya magari kwanza.Ulimaliza chuo lini na hayo magari matatu umeyapata lini? Naona umeamua kutudanganya kujipoza machungu ya kuachwa
Umrjikita kuhusu muda ambao IST zimeanza kutumika kikamilifu nchini hadi jamaa kupata mahela na kukusanya magari matatu nyumbani "kwake "?🤣🤣🤣🤣🤣Ulimaliza chuo lini na hayo magari matatu umeyapata lini? Naona umeamua kutudanganya kujipoza machungu ya kuachwa
Dah 🤣🤣🤣 Ni kweli nilimpenda! Lakini unapaswa kuelewa Unaweza ukawa mtu sahihi kwa mtu lakini yeye asiwe sahihi kwakoSio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Kama huna gari, kupata mwanamke mwenye gari ni zali. Hata kama una gari cheap.hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Ni kwel nakuelewa vizuri sana. Japo ushauri wangu kwako kwasasa mpotezee, hawachelewi kutafuta kuku rogaDah 🤣🤣🤣 Ni kweli nilimpenda! Lakini unapaswa kuelewa Unaweza ukawa mtu sahihi kwa mtu lakini yeye asiwe sahihi kwako
Asante sana.Kabla hawajaizindua hiyo sanamu,naomba niwe miongoni mwa wanakamati wa kuihakiki ubora wake na mlingano tarajiwa.Ujengewe sanamu
Wee wa kwanzaahivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Hahah swali lako linachekeshahivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Roho ya Putin kabisa hiyo 😃Sio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Mungu wangu[emoji3064]Sio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
Huwa niki Sena we ni mkimbizi?!, Una semaga naku onea?!.Sio tatizo kumpenda maana inaonyesha ni seriously alikua ni mtu sahihi. Imagine nimepata mafanikio na bado nakumbuka kuja kukusalimia, ingekua miki ningemgonga na gari..ningelatafuta na kale ka ist nako naka gonga.
wapo kibao mkuu yaani watu mpaka leo wana ushamba tena ushamba haswahivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
We jamaa nae bana..Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.
Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.
Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie MsibaWe jamaa nae bana..
Kama mtu alishakuacha, huo mda wa kuhangaika kwenda kumtafuta ili umuonyeshe magari uliyo nayo unaupata wapi? Dont u hav a life? Huna mambo ya maana ya kufanya? Huja move on?
Ina maana tangu uachane nae mwaka 2018 mpaka leo miaka karibu 7 we bado unamuwaza yeye tuu? Huna wanawake wengine wakuku keep busy?