Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Piga Chini Mazima huyo mwanamke mkuu,
MAANA Kuna siku unaweza kua kwenye WHEELCHAIR akakukimbia Tena..
 
kumbe aina..??
Sawa mnafki mkuu...
Eeeh! aina kwa maana kila mwenye nacho utamani kilicho juu zaidi ya alicho nacho, kw maana mataifa yaloendelea gari ambazo zinawapa mchecheto huku 90.999% ya raia wanazo so akikutana na mwanaume mwenye chuma kali lazima apapatike we nani huku ka IST kasikubabaishe?
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala...
Wanaojitambua ndo watabaki kwenye msimamo na mstari ulionyooka. (WASIO NA TAMAA).
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala...
You are such a sweet guy yani kitendo cha kumsubiri masaa 4 atoke class umsindikize nyumbani ni upendo wa ajabu. Ni vile tu wadada huwa na tamaa lakini kama amejirekebisha msamehe maana inaonyesha unampenda sana.
 
Kwanini huwa mnawapenda wanawake?rule no 1,dont give them attention,they will pay for your attention.(sjui mnataka muambiwe mara ngapi)
 
Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie Msiba
Acha ujinga kijana...umjulie hali kwani amekuwa mama yako huyo.?

huoni anakuona punguani na kukukebehi tena?, lazima uonyeshe kwamba unaweza kuishi bila yeye.
 
hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Mtoa mada na mwanamke wote ni watoto,maana mwanamke anapapatikia mwanaume mwenye gari, na huyu mtoa mada anaamini gari ni mafanikio
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Kwanini bado unaendelea kumtembelea kazi kwake ina maana na wewe bado unampenda..anakutesa bado na wewe unahangaika kumuumiza moyo
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Aaaah bro, hueshimiwe wakati huna kitu? Huyo mwanamke atakula mawe?
Mwanamke anataka nguo, unyunyu, chakula kizuri, sehemu ya kulala poa, pesa, future iwe inaeleweka, sasa gari huna, nyumba huna, hata kumpeleka kula bata huwezi!
Usimlaumu! Hakuna aliyeumbwa kuja kuteseka duniani
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Wanawake ndo wanaongoza kuwa na roho mbaya
 
WADAU MBONA MNATUDISS NA CROWN ZETU ATHLETIC,S NA BMW TOLEO LA 2006...🤣🤣🤣🤣🤣 HATUNA UWEZO WA KUNUNUA V8.
MWANA ANADISS ETI BABY WALKER 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom