Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Hapo Ndugu Yangu Atakusumbua Hadi Uchanganyikiwe.

Wanawake Huwa Wanaona Gari Ni Pesa Kumbe Gari Ni Kama Mke Wa Pili/Mchepuko Kuigharamia & Upendo Wetu Upo Huku Zaidi Ya Hata Ya Kwa Mwanamke.

Wanawake Wangekuwa Na Akili Wangewapenda Wasio Na Magari Maana Kule Wanapewa Hela Zaidi Kuliko Huku Wanagawana Na Vimeo Vya Kuigharamia Gari Na Ku-maintain.
Na huwezi miliki gari kama huna pesa
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Kisasi na kumbukumbu mbaya ni sehemu ya maradhi ya akili.
Mpaka sasa lengo la huu uzi wako ni nini haswa?
 
Kuachana na mtu haiimanishi huwezi mjulia hali, au mpaka usikie kafa ukahudhurie Msiba
Hivi hizo akili na mawazo ya kijinga mnayatoaga wapi nyie watoto wa siku hizi?

Ukiachana na mtu jifunze kukata mawasiliano mazima. Haijalishi mmeachana kwa ubaya au kwa wema. Mambo ya mawasiliano ni ushenzi mtupu.

Labda nikuulize kitu. Ikitokea umeoa au umepata mpenzi mwengine. Halafu ukagundua huyo mpenzi wako bado anajuliana hali na kuwasiliana na mpenzi wake wa zamani utajiskia poa?

Nyie ndio mnaofanya taasisi ya ndoa na mahusiano kukengeuka siku hizi. Ndio maana vijana wamesanuka hawataki kabisa kuoa.
 
Wanawake hawana akili ya kutafakari mambo yeye ana amini anachokiona tu.
 
Hivi hizo akili na mawazo ya kijinga mnayatoaga wapi nyie watoto wa siku hizi?

Ukiachana na mtu jifunze kukata mawasiliano mazima. Haijalishi mmeachana kwa ubaya au kwa wema. Mambo ya mawasiliano ni ushenzi mtupu.

Labda nikuulize kitu. Ikitokea umeoa au umepata mpenzi mwengine. Halafu ukagundua huyo mpenzi wako bado anajuliana hali na kuwasiliana na mpenzi wake wa zamani utajiskia poa?

Nyie ndio mnaofanya taasisi ya ndoa na mahusiano kukengeuka siku hizi. Ndio maana vijana wamesanuka hawataki kabisa kuoa.
Nakazia hapa mkuu, kuna jambo la kujifunza hapa
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
katafute jukwaa la watoto wenzio
 
blacktea1200px25fps.gif
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Nakukumbusha upo Jamiiforums na sio facebook
 
Back
Top Bottom