Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Ndio ununue magari yote hayo? Idadi hiyo ya magari ni kwa mtu mwenye familia sio aliyeko single. Jitafakari ndugu yangu unaonekana huyo binti amekutesa sana na huoni mbele bila yeye. Ingawa umetudanganya kwenye hayo magari naomba nikupe scenario nyingine je tuseme huyo dada ukamchukua halafu akakutana na mtu ana LC 300 VXR si atakumwaga na hivyo vi-baby walker vyako. Demu hakutaki tafuta mwanamke sahihi u-move on

Nimeandika mengi kukusaidia dogo
Naviuza nanunua Moja kali zaidi Hakuna kushindwa 🤣🤣🤣🤣
 
Ndio ununue magari yote hayo? Idadi hiyo ya magari ni kwa mtu mwenye familia sio aliyeko single. Jitafakari ndugu yangu unaonekana huyo binti amekutesa sana na huoni mbele bila yeye. Ingawa umetudanganya kwenye hayo magari naomba nikupe scenario nyingine je tuseme huyo dada ukamchukua halafu akakutana na mtu ana LC 300 VXR si atakumwaga na hivyo vi-baby walker vyako. Demu hakutaki tafuta mwanamke sahihi u-move on

Nimeandika mengi kukusaidia dogo
Nimekuelewa, lakini kingine Uelewe kuwa Gari ni Kitu ambacho nilikuwa natamani maisha yote kama ilivyo kwa wadada kumiliki Simu nzuri mpya inapotoka. maisha mafupi kama unatamani kufanya kitu kifanye kabla hujakosa uwezo wa kukifanya kabisa
 
hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Endelea kujiuliza km wewe hupaparikii kuna wenzio wanapaparikia, itakua ushapandishwa mpaka umekubuhu sasa unaona kitu gani Ila wenzio wanaona ndio chanzo cha mapato na fursa mkoko kutembea kwenye vumbi na kupigwa na Jua kali la Dar hakuna anaependa
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Pole sana ndugu. Hata mimi kuna gari inaitwa SIENTA niliazimia kuwa SIENTA ni GARI HARAMU kwa sababu zinazofanana na zako. Ukitoa Nguruwe na kamari kwangu mimi Sienta pia ni haramu. Tofauti yako ni kuwa umeshindwa ku-move on. Bado unampenda huyo manzi wako (aliyegongwa na mmiliki wa IST). Utakuta hapo huna kitega uchumi hata kimoja ila umekimbilia kununua magari kumkomoa demu ambaye kesho anaweza hongwa Porsche Cayene ukaja tena hapa kutulilia. Jitahidi kuwa mwanaume kamili kwa kukubali hizo nyakati za demu kukukataa. Wewe bado uko kwenye himaya ya huyo manzi. Na ukiendelea kuwa mpuuzi utapigwa tena tukio.
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Seems like unaenda kumsalimia ili kumlingishia something which shouldn't be done by a real man. We angalia maisha yako incase angekufuata na kukwambia labda mrudiane hapo ungeweza kutema nyongo.
Mimi nakusihi kama mwanaume mwenzako, angalia yanayokuhusu less otherwise bado unampenda na unataka umrudie baada ya kumuumiza kwa majuto yake.
 
Pole sana ndugu. Hata mimi kuna gari inaitwa SIENTA niliazimia kuwa SIENTA ni GARI HARAMU kwa sababu zinazofanana na zako. Ukitoa Nguruwe na kamari kwangu mimi Sienta pia ni haramu. Tofauti yako ni kuwa umeshindwa ku-move on. Bado unampenda huyo manzi wako (aliyegongwa na mmiliki wa IST). Utakuta hapo huna kitega uchumi hata kimoja ila umekimbilia kununua magari kumkomoa demu ambaye kesho anaweza hongwa Porsche Cayene ukaja tena hapa kutulilia. Jitahidi kuwa mwanaume kamili kwa kukubali hizo nyakati za demu kukukataa. Wewe bado uko kwenye himaya ya huyo manzi. Na ukiendelea kuwa mpuuzi utapigwa tena tukio.
Umeongea point Ndugu yangu. Ahsante Sanaa
 
Seems like unaenda kumsalimia ili kumlingishia something which shouldn't be done by a real man. We angalia maisha yako incase angekufuata na kukwambia labda mrudiane hapo ungeweza kutema nyongo.
Mimi nakusihi kama mwanaume mwenzako, angalia yanayokuhusu less otherwise bado unampenda na unataka umrudie baada ya kumuumiza kwa majuto yake.
Nop! Kunatofauti hapo Kulingishia sio Hoja na kwanini huwa tunachukulia mafanikio ni matambo?
 
Kijana una gari tatu unahangaika na mdada mmoja kupita pita ofisini kwake😂


Kuna njemba walivopata magari kwanza ma ex wa nyuma wakasahaulika pap
Ikawa ni kutafuta unknown pipo na “kutanua” konekshen😁
Kaka Sometimes huwa tunapenda kumake peace with our own p'po
 
Back
Top Bottom