Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake