dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
nilioa miaka 18 iliyopita kwa hiyo sina muda wa kupoteza na gold diggers.Ulishawahi tongoza mwanamke hakukuambia hàjalà na kodi imeisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilioa miaka 18 iliyopita kwa hiyo sina muda wa kupoteza na gold diggers.Ulishawahi tongoza mwanamke hakukuambia hàjalà na kodi imeisha?
Unafurahisha baraza tu we huna hata afkumi ya kumpa bidadaWewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Kaombwa pesa ndogo amekuja kuanzisha uzi jf angeombwa mamilioni si angeenda bbc na cnn 😂Kajamba nani unamaanisha maskini? Lugha ya zamani sana hiyo mkuu. 😀😀😀😀Hawa kataa ndoa wengi ni masikini na wanajitafuta.
Mbona pesa ndogo sana. Mwambie atupe namba yake huyo dada inbox tumsaidie hizo pesa ndogo ndogo anazohitaji huyo demu
Mwambie aache kazi kama anafanya kazi ambayo haiwezi kumpa mshahara unaoweza kumfanya apate nauli boraa aacheKataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Huyo siyo mwanamke bali ni mnyonya damu au chuma ulete.Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Hawa wa hivi huwa mnawatoa wapi?😂😂😂😂Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Mkuu hili haupo peke akoo kaka na mimi nimekimbia mbio aisee yaani mtu anakuachia mizigo yote kila kitu na anapenda vizur na hana ya kutosha aiseeKataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
😂😂Sio kwamba hakupendi ni anakuchukia kuliko kiumbe yeyote yule duniani
Msaidie sista yetu, ndiyo tunamtegemea sisi wadogo zake.Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Kama hela ni ndogo kwa nn aombe sasa?Kaombwa pesa ndogo amekuja kuanzisha uzi jf angeombwa mamilioni si angeenda bbc na cnn 😂
Na yeye kama hataki kuombwa si atumie sabuniKama hela ni ndogo kwa nn aombe sasa?