Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

Mke mwenye busara hutoka kwa Bwana angalia sana njia unazopita kijana shetani ana njia nyingi za kuangusha uchumi wako
Piga magoti wiki moja mara tatu kwa siku omba Toba jitakase kwanza omba Mungu akupe mke mwema andaa na sadaka yako nenda jumapili katoe sadaka kumshukuru Mungu hivi ndio mke mwema anavyopatikana tena Mungu atakupa mwanamke wa ujana wako nazani umenielewa
Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.

Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake

 
Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.

Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake

Kmmk hawa wanawake sasa naona wanaanza kutuchezea mapumbuzz....wee 500k unaomba kirahirahisi hivyo kwamba zinaokotwa!
Dah aisee vijana kwa kweli wacha tuendelee na nyeto ya mlenda. Kweli hawana huruma na sie sasa na sie ni mwendo wakuzalisha single maza yaani mpaka tz ijulikane ulimaenguni kama kiwanda cha single mazas
 
Huyo siyo mwanamke bali ni mnyonya damu au chuma ulete.
Huko kazini kwake hawalipwe mishahara hadi wewe ndiye uwe unamlipia nauli? Hiyo biashara yake ina faida gani kama akutaka kuagiza mzigo China anaanza kuwachangisheni mnao mgonga? Huyo mwanamke ni duka
Ni danga mkuu uhitaji uwepo wa daktari.
 
Mke mwenye busara hutoka kwa Bwana angalia sana njia unazopita kijana shetani ana njia nyingi za kuangusha uchumi wako
Piga magoti wiki moja mara tatu kwa siku omba Toba jitakase kwanza omba Mungu akupe mke mwema andaa na sadaka yako nenda jumapili katoe sadaka kumshukuru Mungu hivi ndio mke mwema anavyopatikana tena Mungu atakupa mwanamke wa ujana wako nazani umenielewa
Huitaji ata mungu kujua mwanamke mwema bwana. Sasa kama huyu kweli unahitaji mungu akuonyeshe kuwa hafai?
Tutumie akili zetu baadala ya hisia kuchagua mke na utapata tuu
 
Kmmk hawa wanawake sasa naona wanaanza kutuchezea mapumbuzz....wee 500k unaomba kirahirahisi hivyo kwamba zinaokotwa!
Dah aisee vijana kwa kweli wacha tuendelee na nyeto ya mlenda. Kweli hawana huruma na sie sasa na sie ni mwendo wakuzalisha single maza yaani mpaka tz ijulikane ulimaenguni kama kiwanda cha single mazas
😂😂😂 500k January hii ni bora kununua aisee mapenz ni cost sana saiv.
 
Umenikumbusha huyo manzi. Nilikuwa namkubali sana ila sasa uombaji wa hela ulinifanya nihisi kuna mtu pembeni anahudumiwa kwa hela zangu.
Siku moja, nilikuwa nimevurugwa akaniletea habari za hela, nikablock. Mpaka leo sijui anaishi au la.
 
Back
Top Bottom