Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #81
Kweli kabisa bloodMwambie aache kazi kama anafanya kazi ambayo haiwezi kumpa mshahara unaoweza kumfanya apate nauli boraa aache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa bloodMwambie aache kazi kama anafanya kazi ambayo haiwezi kumpa mshahara unaoweza kumfanya apate nauli boraa aache
😂😂😂😂Huyo siyo mwanamke bali ni mnyonya damu au chuma ulete.
Huko kazini kwake hawalipwe mishahara hadi wewe ndiye uwe unamlipia nauli? Hiyo biashara yake ina faida gani kama akutaka kuagiza mzigo China anaanza kuwachangisheni mnao mgonga? Huyo mwanamke ni duka
Mkuu ni pisi za humu humu mjini daslamHawa wa hivi huwa mnawatoa wapi?😂😂😂😂
Kweli kabisa mkuuHapo approximately anahitaji 1.5m per month yani mshahara wa doc
Piga chini
Hapo sasa.Duh noma.Sasa mshahara wake anapeleka wap?
Kajamba nani unamaanisha maskini? Lugha ya zamani sana hiyo mkuu. 😀😀😀😀Hawa kataa ndoa wengi ni masikini na wanajitafuta.
Mbona pesa ndogo sana. Mwambie atupe namba yake huyo dada inbox tumsaidie hizo pesa ndogo ndogo anazohitaji huyo demu
Kwa nini uanze kutongoza mke asiye wako? Hiyo ni hatari.Jinsi ya kumvuta Mwanamke bila hata kutumia shilingi
Ivi umeshawah kutana na Jidada mmoja mwenye uchumi wake kukuzidi yaan wee unajiweza lkn yeye kakuzidi na umemuelewa kinoma yaan?? Au tu ni Mke wa mtu sema umemuelewa ?? Sasa leo nawapa siri nyingine ya hawa viumbe , hii siri Ukijua kuiexercise itakupa Mwanamke yoyote unayemuhitaji in a really...www.jamiiforums.com
Mkuu uwez amini huyo mtoto juzi nilikuwa nae nikampa 30k akasuka halafu wakati wa kuondoka nikampa 50k nikajua itamsogeza leo tu tayari napewa bili nyingine na hapo bado anataka nimlipie kodi. So mtu wa hivi hata umfanyie nini atosheki bora kukimbia tuMkuu
Mkuu hili haupo peke akoo kaka na mimi nimekimbia mbio aisee yaani mtu anakuachia mizigo yote kila kitu na anapenda vizur na hana ya kutosha aisee
Acha ufala wa kujionesha unazoKaombwa pesa ndogo amekuja kuanzisha uzi jf angeombwa mamilioni si angeenda bbc na cnn 😂
We jua TU anakuchukia ndio maana anataka kukuuzia penzi kuwa romantic sio shida si anaangalia video za Balthazar ataacha vipi kuwa wet n romanticAiseee mbona kwenye mgegedo yupo very romantic mkuu
Mkuu mbususu nishapewa mara mbili na nikaichakata haswa kwa hiyo kukimbia ni sawa kabisaKama umeshapewa mbususu ingia mitini kama bado mwite ukimwahidi unakuja kumpa halafu mpe elfu 10 mwahidi utamtumia kwenye simu au akupe akaunti namba yake
Hakika mkuuMwanamke anayeombaomba hela hovyohovyo ni mpuuzi na apuuzwe. Unamgeuza mwanaume ATM hela atatoa wapi kwa usawa huu? hata wanaume nao hutaka msaada kusaidiwa na wake zao. kwa mtindo huu watakimbiwa sana
Kumbe Evelyn Salt ni blaza dah huu ugeni huu siku nitajichanganya mahaliHiyo bili imeandikwa na mchaga wa machame!!! Shimboni shafo!!!
Halafu ameorodhesha kabisaa yaanii.... nataka hiki na kile, wanja, lipstic, nauli, chips yai....
Aiseee mbona ningemtimua fasta!!! Kwani ni nini anakupa cha maana!???? Hilo limbunye lenye gonorea na fangasi??
Kuna watu mna mioyo ya chuma kama kiranja wenu blaza Evelyn Salt
Cc: Kijana masikini Dogoli kinyamkela Nyani Ngabu Extrovert Labella Mwachiluwi Poor Brain mshamba_hachekwi
Hatari, Mimi hadi umri huu sijawahi kukutana na binti wa kariba hiyo.😅😅Mkuu ni pisi za humu humu mjini daslam
Nakutumia inbox kamanda sisi huwa atuangushaniWeka namba yake na sisi tumchoshe alafu tumkimbie
Very sure blood ndio maana hawaolewiHiyo invoice wateja kama watano hivi!
Wanaume shida tunayo!
Lakini wadada nanyi mnaendekeza njaa! Hamuwezi dumu kwenye mahusiano kwa namna hii ya unyonyajo!
Yule ni blaza anapakua.Kumbe Evelyn Salt ni blaza dah huu ugeni huu siku nitajichanganya mahali
Kaka yani sielewDuh noma.Sasa mshahara wake anapeleka wap?
Ahsante sana mtumishi nimekuelewa vemaMke mwenye busara hutoka kwa Bwana angalia sana njia unazopita kijana shetani ana njia nyingi za kuangusha uchumi wako
Piga magoti wiki moja mara tatu kwa siku omba Toba jitakase kwanza omba Mungu akupe mke mwema andaa na sadaka yako nenda jumapili katoe sadaka kumshukuru Mungu hivi ndio mke mwema anavyopatikana tena Mungu atakupa mwanamke wa ujana wako nazani umenielewa