Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Wanaume kajamba nani kwa kupenda kulalamika hamjambo ππKataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine. Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Nimeona bloodHuyo umeingia kwake kama fulsa
Wote wako hivyo sijui kwanini.
Damn. ππππ umekuwa ajira yake. Aka umekua fursa yake.
Ulishawahi tongoza mwanamke hakukuambia hΓ jalΓ na kodi imeisha?usiwahukumu wanawake wote kisa umekutana na mfanyabiashara wa via vyake vya uzazi.
Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpyaWanaume kajamba nani kwa kupenda kulalamika hamjambo ππ
Labda unamaanisha sio level yangu kwa umaskini ni sawaMuwe mnatongoza level zenu huyo sio level yako
Mbona huo mwandiko ni wa Mwanaume?Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine. Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
View attachment 3198839
Na wewe muoroodheshee mahitaji yakoKataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine. Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
View attachment 3198839
Ana subiri kuwa single maza huyo, mpe miaka mitatu tu utakutafuta tena.Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Ni dem mkuu labda kama unataka nikupe namba usemeMbona huo mwandiko ni wa Mwanaume?
Kajamba nani unamaanisha maskini? Lugha ya zamani sana hiyo mkuu. ππππHawa kataa ndoa wengi ni masikini na wanajitafuta.Wanaume kajamba nani kwa kupenda kulalamika hamjambo ππ
Hata kama level ni sawa ndio umlipie nauli ya kwenda kazini? Sasa hiyo kazi ni ya nini kama hata nauli hailipi?Muwe mnatongoza level zenu huyo sio level yako