The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mkuu hua unachapa dada mtu na wadogo zao ?Inategemea ana malengo gani na dada mtu. Kama ni kufurahishana acha achape kwa dada na mdogo wake maana hakuna makombo kwenye zile elastic material.
@DeepPondIlitakiwa ale mdogo mtu..[emoji1787]
Mkuu kinachotuumiza wanaume ni kutokuwa na standard za wanawake tunaowataka.Unakaaje na mwanamke ambae hakusikilizi..? Hicho kiburi cha kuinuka na kwenda kucheza peke yake Tena na ng'ombe nyengine wewe ndo umekilea!.
Ukimwamsha aliyelala utalala weweAiseee mwanamke unaweza kukaa bar na mpenzi wako huku ukiwa na wadogo zako wa kike
imepigwa nyimbo unanyanyuka unamuacha mpenzi wako kakaaa, mnaanza kucheza mziki na mdogo wako then anatokea mwanaume mnaanza kucheza, inafikia hatua kwenye uchezaji mnaanza kushikana viuno mbele ya mpenzi wako, eeety kwamba shemeji yake kwa mdogo wake mwingine
Atabalika Baada ya kukuona wewe umesimama kivipi?[emoji1787][emoji1787]Mbadilishe eti?
Mtu habadilishwi ila anabadilika mwenyewe
haya ww kichupi mkubwa [emoji2960]
Kimasihara ..?Ilitakiwa ale mdogo mtu..🤣
Kapime UTI , HIV na magonjwa mengine Kama ini mkuuAiseee mwanamke unaweza kukaa bar na mpenzi wako huku ukiwa na wadogo zako wa kike umepigwa wimbo unanyanyuka unamuacha mpenzi wako kakaaa, mnaanza kucheza mziki na mdogo wako then anatokea mwanaume mnaanza kucheza, inafikia hatua kwenye uchezaji mnaanza kushikana viuno mbele ya mpenzi wako, eeety kwamba shemeji yake kwa mdogo wake mwingine.
Mim ndio kilichonitokea jana nikakasirika nikanuna mno, nikaamua niondoke ile naingia kwenye gari mdogo wake akanifuata akanisihi sana niludi nikakae nae
Lakin mimi tayari nishakuwa na kinyongo ukizingatia mitungi niliyokunywa basi bana kukaa kwenye kiti na mdogo wake tukawa tunaendelea mara akaja, iseee nilikuwa nimejitegeza tuuh ashoboke
Nilimtukana matusi mengi mazito mazito mbele ya mdogo wake nikamfukuza sitaki kukaa nae kanuna kaondoka, basi nikakaa na ndugu yake mpaka baa inafungwa nayeye akaondoka.
Mimi nikampa lift mhudumu mmoja mpaka anapoishi [emoji39]...
Je, ndugu zangu kitendo kilichofanywa mbele yangu ingekuwa wewe ungefanya nini ?
Mimi kumtukana jeeeh nimekosea sana ?
Maana mpaka asubuh hii hasira imenijaa sana sitaki hata kumuona na ile sehemu najulikana sana nahisi kanitia aibu naonekana mjinga anyway kanizidi miaka 7 huyo dem
Tayari nimemaliza
ungemshika nawe tako huyo mwanaume.Aiseee mwanamke unaweza kukaa bar na mpenzi wako huku ukiwa na wadogo zako wa kike umepigwa wimbo unanyanyuka unamuacha mpenzi wako kakaaa, mnaanza kucheza mziki na mdogo wako then anatokea mwanaume mnaanza kucheza, inafikia hatua kwenye uchezaji mnaanza kushikana viuno mbele ya mpenzi wako, eeety kwamba shemeji yake kwa mdogo wake mwingine.
Mim ndio kilichonitokea jana nikakasirika nikanuna mno, nikaamua niondoke ile naingia kwenye gari mdogo wake akanifuata akanisihi sana niludi nikakae nae
Lakin mimi tayari nishakuwa na kinyongo ukizingatia mitungi niliyokunywa basi bana kukaa kwenye kiti na mdogo wake tukawa tunaendelea mara akaja, iseee nilikuwa nimejitegeza tuuh ashoboke
Nilimtukana matusi mengi mazito mazito mbele ya mdogo wake nikamfukuza sitaki kukaa nae kanuna kaondoka, basi nikakaa na ndugu yake mpaka baa inafungwa nayeye akaondoka.
Mimi nikampa lift mhudumu mmoja mpaka anapoishi [emoji39]...
Je, ndugu zangu kitendo kilichofanywa mbele yangu ingekuwa wewe ungefanya nini ?
Mimi kumtukana jeeeh nimekosea sana ?
Maana mpaka asubuh hii hasira imenijaa sana sitaki hata kumuona na ile sehemu najulikana sana nahisi kanitia aibu naonekana mjinga anyway kanizidi miaka 7 huyo dem
Tayari nimemaliza
Duh! Kipondo hakikwepeki hapoHiyo yako cha mtoto..kuna yule jamaa alendaga na dem wake kwenye show ya Diamond sijui ilikuaga fiesta au nini...mondi alipoanza kuperform dem kapanda jukwaan kamnengulia mondi afu kamkumbatia akamnyonya kifua mabaunsa ndo wakaenda kumtoa.... Jamaa alimtembezea dem wake kichapo nusu aue
Umemaliza kila kitu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi yana watesa sana watu aisee
Swala la wewe kutopenda kilichotokea ni nature ya wanaume kikubwa jifunze kutawala hisia za wivu
Inawezekana mwenzako akiwa tungi anakua hawezi kujizuia kucheza muziki aupendao
Haya mambo yanata busara kuya handle vinginevyo utakua unaonekana kituko tu