Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh miaka 7..... Unabemendwa.... tembea na mdg akeAiseee mwanamke unaweza kukaa bar na mpenzi wako huku ukiwa na wadogo zako wa kike umepigwa wimbo unanyanyuka unamuacha mpenzi wako kakaaa, mnaanza kucheza mziki na mdogo wako then anatokea mwanaume mnaanza kucheza, inafikia hatua kwenye uchezaji mnaanza kushikana viuno mbele ya mpenzi wako, eeety kwamba shemeji yake kwa mdogo wake mwingine.
Mim ndio kilichonitokea jana nikakasirika nikanuna mno, nikaamua niondoke ile naingia kwenye gari mdogo wake akanifuata akanisihi sana niludi nikakae nae
Lakin mimi tayari nishakuwa na kinyongo ukizingatia mitungi niliyokunywa basi bana kukaa kwenye kiti na mdogo wake tukawa tunaendelea mara akaja, iseee nilikuwa nimejitegeza tuuh ashoboke
Nilimtukana matusi mengi mazito mazito mbele ya mdogo wake nikamfukuza sitaki kukaa nae kanuna kaondoka, basi nikakaa na ndugu yake mpaka baa inafungwa nayeye akaondoka.
Mimi nikampa lift mhudumu mmoja mpaka anapoishi [emoji39]...
Je, ndugu zangu kitendo kilichofanywa mbele yangu ingekuwa wewe ungefanya nini ?
Mimi kumtukana jeeeh nimekosea sana ?
Maana mpaka asubuh hii hasira imenijaa sana sitaki hata kumuona na ile sehemu najulikana sana nahisi kanitia aibu naonekana mjinga anyway kanizidi miaka 7 huyo dem
Tayari nimemaliza
Maadam wote n wanywaji na wahudhuriaji wa baa usiwe na wivu ndo mambo yetu hayo ya baa ukija huku ulevini acha wivu nyumban
Sijawahi Kwa kweli.Mkuu hua unachapa dada mtu na wadogo zao ?