Mwanamke wangu kacheza na mwanaume mwingine mbele yangu tena kwa kushikana kiuno

anyway kanizidi miaka 7 huyo dem


Mnaposhauri msisahau huo msitari..naona wengi hamjauona
 
Unapompeleka bar kulewa hapo umeishamshusha hadhi au wewe ndio unapenda walevi
Ila huyo ni wa kupita tu wala asikupe pressure na kuumia
Tafuta wa kuoa la sivyo utakuwa una share tu na wengi BAR
Hapo hujui kama alienda chooni na jamaa
 
Mhhh miaka 7..... Unabemendwa.... tembea na mdg ake

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…