Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe unataka mwanaume mchepukaji?Sjui nimpate wapi mwanaume kama huyu
Siku ya mwaka mpya nilishinda na wife home. Isitoshe yeye kila siku ananiona. Siku zote tupo pamoja, hata kulala nje sijawahi except siku nimesafiri kikazi.Mkeo unatoka naye mara ngapi maana toka Christmas unaleta habari ya kutoka na huyo mchepuko wako. Inaonekana mkeo ni kama makochi ndani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie masingle parents muwe mnaoa au kuolewa na wazazi wenzenu tu wa awali, hili kuwaepushia na balaha hao watoto wa wenzenu mnaofunga nao ndoa mpyaa.Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
U are not a man enough... Kwanini hukumuoa huyo sasa! Nyie ndio mnawaharibia wanawake maisha kisha tunaanza kuwanyanyasa singles mothers kumbe nyuma ya pazia chanzo ni wajinga kama weweShukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
Happy New Year to you
Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?
Mwenye anakumbuka na kumthamini bibi mwenye alioa kwa hiari yake,mwanaume mwenye kujali hisia za mwenzie....wanaume 98% ni wachepukaji sema una wenye kujielewa wana heshimu sana wake zao
Hata hivyo unajipendekeza!!Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?
Mbona lingombe!Usiposikilza huu ushauri mkuu we utabakia kuwa ling'ombe tu
Ndo huyo hapo sasa my dearSjui nimpate wapi mwanaume kama huyu
Acahana na ego za kishamba wee mtafute uwe u apewa tunda bwana... Shauri yako wee zembea utakosa papuchiShukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?