Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

Mkeo unatoka naye mara ngapi maana toka Christmas unaleta habari ya kutoka na huyo mchepuko wako. Inaonekana mkeo ni kama makochi ndani kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya mwaka mpya nilishinda na wife home. Isitoshe yeye kila siku ananiona. Siku zote tupo pamoja, hata kulala nje sijawahi except siku nimesafiri kikazi.
 
Wanaume wenzangu tuwaheshimu wake zetu, tena sana .mkeo ndio Rafiki wako WA kwanza. Kama mkeo sio Rafiki yako basi kuna walakini. Kiapo cha ndoa kinasema kwenye shida na raha, leo ndugu yangu mko kwenye raha unamuongezea mwenzio yaani as simple as that! Halafu unasema yeye ni Mke ananipenda sana, hapo unategemea asifanye chochote. Lkn tambua na yeye ni binadamu na ana feelings Kama Wewe. When woman is fed up kaka hata huo mchepuko utauona sumu. Sasa hapa imekuwa vice versa Mwanaume mpumbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.
 
Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
Nyie masingle parents muwe mnaoa au kuolewa na wazazi wenzenu tu wa awali, hili kuwaepushia na balaha hao watoto wa wenzenu mnaofunga nao ndoa mpyaa.

Sasa angalia kama wewe hapa yaani huyo mke wako anaonekana amebeba balaha zito humo ndani analoliita mume, sipati picha jinsi atakavyojiskia endapo kama atabahatika kusoma hichi ulichokiandika hapa.

Hakika ukioa au kuolewa na single parent wewe ni mwizi wa mali ya watu na siku yoyote inarudi ilipotoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
U are not a man enough... Kwanini hukumuoa huyo sasa! Nyie ndio mnawaharibia wanawake maisha kisha tunaanza kuwanyanyasa singles mothers kumbe nyuma ya pazia chanzo ni wajinga kama wewe
 
Dah mkuu una miaka mingapi mbona penzi la mzazi mwezio linakupekesha puta ivyoo Mimi Nina mtoto wa nje alikuwa ananiletea pozi kula papuche yake nikamwambie tulee mtoto saivi nakwambia naishi kwa amani sijifichi tena akipiga ni mtoto basi juzi nilikutana naye kwaajili ya taratibu za mtto shule amenona tako ilo mate yakanitoka ila nikaondoka nikasema cha zamani ni cha zamani tu ata ubadilishe bodi bado ni cha zamani tu nimeblock wasap nisione chochote nisijipatie vishawishi
Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?
Hata hivyo unajipendekeza!!
Mtu yuko na babe wake na wewe tulia na mkeo!
 
Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?
Acahana na ego za kishamba wee mtafute uwe u apewa tunda bwana... Shauri yako wee zembea utakosa papuchi
 
Back
Top Bottom