Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

Acahana na ego za kishamba wee mtafute uwe u apewa tunda bwana... Shauri yako wee zembea utakosa papuchi
Kweli mkuu. Salute kwako. Acha tu niwe mpole niendelee kufaidi utamu maana hata nikikaza nazidi kujiumiza mwenyewe. Halafu naogopa nikikaza kwa muda mrefu mabaharia wanaweza kupita nae.
 
Kweli mkuu. Salute kwako. Acha tu niwe mpole niendelee kufaidi utamu maana hata nikikaza nazidi kujiumiza mwenyewe. Halafu naogopa nikikaza kwa muda mrefu mabaharia wanaweza kupita nae.
Wee kuwa mpole upate papuchi... Hilo ndio muhimu duniani... Kugegeda ndio raha ya dunia.
 
Hizi ishu sometime ngumu sana. I have the same situation tofauti tu ni kuwa sijaoa wote. Ila uamuzi wa kuoa nani ndio mbinde.
Na wote nina product nao.

Jitahidi kumheshmu mkeo na umpe mipaka huyo mchepuko na usithubutu amsogelee mkeo utasambaratika na atakufanya ndondocha....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii point kubwa sana. Kwa kuwa jamaa ana tamaa na mahusiano ya zamani ataona kama comment tu.

Big up.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaa nimesoma story yako Mara mbil lakn nimetoka kapa, horaaa kabsaa sijaambulia point Ata moja ivi Kwan mkuu ulikuwa unataka nn et
 
Mkuu nipo njia panda kwelikweli. Mama wa mwanangu namkubali sana. Halafu nina wivu naye sana. Huwa nikipiga simu yake halafu nikakuta ipo busy huwa najisikia vibaya sana. Kiufupi nampenda.
mkuu we endelea unacho kitafuta utakipa unakakumbuka kale ka methali ka primary ka mtaka vyote kwa pupa.. ____________we endelea tu
 
Mi nilikushangaa tu vile umeshtukiwa na mkeo kuwa unataka kwenda out na mchepuko na bado ukaenda😲, hapo tu Niliona huyo hawala kakuroga. Mwanaume makini angecancel kila kitu, akatulia nyumbani. Akampetipet mkewe.

Una shida somewhere, hujali hisia za mkeo, jua unamuumiza sana
 
Akichukua point 3 zote kuna ubaya gani? Mbona ARTETA kachukua 3 zote mbele ya MAN U!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaendekeza wanawake, utakufa maskini. Wewe badala uombe ushauri wa dili la hela unaomba ushauri wa mwanamke? Kijana we kabila gani mbona mpuuzi hivyo?
 
Ukimsusa mazima nani atamhudumia mwanao???.... Kama unataka kumsusa Fanya hivi, chukua akaunti namba yake ya bank kila mwezi muwekee matumizi ya mtoto kimya kimya basi we endelea kupiga kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mie nilivyosoma uzi wake nimeona hamna mme hapo mkewe kapata ghalasa tena lenye mapembe ,hajui visasi vya wanawake huyu atakuja shituka anawatoto 4 wakwanza ndiyo wake, kisha atakuja kutukana wanawake humu angekuwa yeye afanyiwe hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…