Nyau wewe , kwanini huku muoa ukamuacha huyo mdada akaolewa na mwanaume ampendaye kwa dhati, mtu umpendaye huwezi muumiza eti huyo hawala unampenda sana ulishapotea wewe na umelishwa INYA , sasa subili kulishwa sumuShukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
Muda wote anamuwaza mchepuko, anaumia sababu ya mchepuko daaa Mungu tusaidie, hawa ndiyo waliondikiwa muishi na wake zenu kwa akili, sikukuu kubwa kama hiyo badala ya kuwa na familia eti unaenda ku enjoy na mchepuko, muache apande chuki kwa watoto atavuna anachopanda saiziMkeo unatoka naye mara ngapi maana toka Christmas unaleta habari ya kutoka na huyo mchepuko wako. Inaonekana mkeo ni kama makochi ndani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu niambie jina lake lote eti jamaniNiitie akuje moyo wangu ndipo umedondokea sina namna
Focus on the GoodDah mkuu una miaka mingapi mbona penzi la mzazi mwezio linakupekesha puta ivyoo Mimi Nina mtoto wa nje alikuwa ananiletea pozi kula papuche yake nikamwambie tulee mtoto saivi nakwambia naishi kwa amani sijifichi tena akipiga ni mtoto basi juzi nilikutana naye kwaajili ya taratibu za mtto shule amenona tako ilo mate yakanitoka ila nikaondoka nikasema cha zamani ni cha zamani tu ata ubadilishe bodi bado ni cha zamani tu nimeblock wasap nisione chochote nisijipatie vishawishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokitafuta utakipata , kumbuka kuna msemo usimwamshe aliye lalaMkuu nipo njia panda kwelikweli. Mama wa mwanangu namkubali sana. Halafu nina wivu naye sana. Huwa nikipiga simu yake halafu nikakuta ipo busy huwa najisikia vibaya sana. Kiufupi nampenda.
Baadaye tukisemwa wanaume wa dar tunamindHujitambui.
Period.
Anajielewa wakati anakuambia amezaa nje ya Ndoa na hapohapo anasema anamheshimu sana mkewe? Hii kejeli kwa mke wake..wewe umesoma ushauri ukaacha tabia ya kishenzi aliyojitolea mfano. Yaani mtu amechepuka hadi anapata mtoto wewe unamsifia..!!??
Mbona mnakuwa wajinga!?? Huyu anatoa ushauri huku akiwa anafanya kosa la aina ileile..tena me ngoja nikuambie,huyu anayejifanya anaficha mahusiano kwa sababu za kumheshimu mkewe ni mjinga zaidi afadhali mtoa mada ambaye yupo wazi kwa mkewe..hapo mkewe ni kama ameshaambiwa avumilie aina ya huo uhusiano anaweza kuondoka yeye kama anakerwa.Sjui nimpate wapi mwanaume kama huyu
Huo nao ni ushauri pia. Asante mkuu kwa ushauri.
My uyu jamaa kweli kabisa hajitambui, bora uo uhusiano wenu ungeufanya siri, hivyo unavyofanya ni kumuumiza mwenzio kwa wazi kabisaNishakuambia Hujitambui.
Acha basi kutusumbua au!?
😛 😛 😛 ameshajijua sema anajishauuuuaa kwa vile anajua nampenda ila atakuja......husband material isiyochanika iyoHebu niambie jina lake lote eti jamani
Sasa tayari keshachepuka na kasema keshazaa mimi ni nani hata nimpinge???? Ujinga umeuona wewe shostMbona mnakuwa wajinga!?? Huyu anatoa ushauri huku akiwa anafanya kosa la aina ileile..tena me ngoja nikuambie,huyu anayejifanya anaficha mahusiano kwa sababu za kumheshimu mkewe ni mjinga zaidi afadhali mtoa mada ambaye yupo wazi kwa mkewe..hapo mkewe ni kama ameshaambiwa avumilie aina ya huo uhusiano anaweza kuondoka yeye kama anakerwa.
Yaani mnasifia mtu aliyechepuka hadi akazaa!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wangu pitisha mbaliShukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
We nae ni bwege kwelMember wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way.
Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.
Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red handed nikijiandaa kutoka kwenda kula Xmass na mama wa mwanangu japo wengine mlimuita mchepuko.
Siku ile nilienjoy vizuri tu na mama wa mwanangu na niliweza kurudi mapema nyumbani ili kumtuliza wife. Wife nilimkuta ana huzuni kubwa hata kula hakuweza.
Niliingia nikiwa nimevaa sura ya upole na kumkalisha wife chini na kuzungumza naye.
Nilimuomba wife ajaribu kunielewa. Utetezi wangu mkuu ulikuwa ni kwamba "yule mwanamke nimezaa naye, hivyo mtoto wake hana tofauti yoyote na hawa watoto wetu wa humu ndani, hivyo hata yeye na mtoto wake wanastahili better treatment as you and our children".
Wife kwa sababu ananipenda hakutaka kuongea sana ila aliendelea kununa japo baadae alikaa sawa na amani ndani ya nyuma ilirejea.
Ushauri ninaouomba kwenu ni kuhusu huyu mpenzi wangu niliyetoka naye siku ya Xmass. Jumapili ya 29 Dec nilimtaarifu huyu mama wa mwanangu ningekuja kwao kumchukua tuende zetu sehemu lakini alinikatalia kwa kisingizio eti kachoka anataka kumpumzika.
Nilimwambia hatutaenda mbali, nataka tutoke kidogo tu then tutarudi. In fact yeye alihisi nataka kwenda kula tunda hivyo alikuwa anadai yeye amechoka na mimi nilimsistizia lengo langu wala sio kula tunda.
Baadae alikubali akasema nimfuate. Basi muda umefika namcheki kwenye simu nakuta simu haipatikani, nikaendelea kumcheki now and then bado tu simu haikupatikana. Baadae baada ya kupita kama saa moja hivi akapatikana.
Swali la kwanza nilimuuliza kwa nini simu umezima, akasingizia eti network ndio shida ila hakuzima simu.
Nilihisi anaongea uongo hivyo nikampandishia, nikamkoromea akanikatia simu na kuizima kabisa. Baada ya kama nusu saa hivi simu ikaanza kupatikana tena. Nilichomwambia tusijuane.
Kusema ukweli huyu mwanamke nampenda na hapa nafsi inanisumbua sana. Najishauri sijui nimrudie, sijui nimpotezee mazima tu. Naombeni ushauri wenu.
Kama huna cha kushauri naomba upite kimyakimya tu badala ya kutoa kejeli.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Si unajua lakini ujinga ni kutojua(ignorance) na ujinga upo hapo ulipoona kama Maoni ya huyo jamaa na mifano yake kama ni mtu sahihi sana. Wakati hawana tofauti na mtoa mada,wote wanachepuka na wote wamezaa nje ya ndoa.Sasa tayari keshachepuka na kasema keshazaa mimi ni nani hata nimpinge???? Ujinga umeuona wewe shost
Dah mkuu una miaka mingapi mbona penzi la mzazi mwezio linakupekesha puta ivyoo Mimi Nina mtoto wa nje alikuwa ananiletea pozi kula papuche yake nikamwambie tulee mtoto saivi nakwambia naishi kwa amani sijifichi tena akipiga ni mtoto basi juzi nilikutana naye kwaajili ya taratibu za mtto shule amenona tako ilo mate yakanitoka ila nikaondoka nikasema cha zamani ni cha zamani tu ata ubadilishe bodi bado ni cha zamani tu nimeblock wasap nisione chochote nisijipatie vishawishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa dear😛 [emoji14] [emoji14] ameshajijua sema anajishauuuuaa kwa vile anajua nampenda ila atakuja......husband material isiyochanika iyo
Itakuwa ni msukuma huyu[emoji16][emoji16]Unaendekeza wanawake, utakufa maskini. Wewe badala uombe ushauri wa dili la hela unaomba ushauri wa mwanamke? Kijana we kabila gani mbona mpuuzi hivyo?
Mshamba kweli huyo jamaa. Mambo ya kuvuka steji haya udogoniItakuwa ni msukuma huyu[emoji16][emoji16]
Msukuma kwa papuchi nyeupe anahonga nchi[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.