Mwanamke wastani wa miaka 25 hadi 29 bado ni Bikira

Nilikuwa nashangaa kwanini muda wote huu unakomaa na hili jambo, now i get it…. Kumbe wewe haujamsahau?

No, we do not belong in the same whatsApp group sis. 🤡👋🏻
We k nini mimi sio mwanamke narudia tena BIKRA HAIRUDI MPAKA UNAOZEANA CHINI
 
Sio lazima usilazimishe maadili yenu huko tandale kwa mtogole na maadili ya familia zenye malezi sahihi
 
Ungeuliza bikra ya wapi?....
mambo yamebadirika sana siku hizi,...🥱🚶🚶
 
haha hapa tatizo sio kidoti tatizo niliachwa... kipo kwenye paji la uso upande wa kushoto
Tatizo sisi ambao ni wakweli na hatuna maneno mengi ya uongo hamtutaki! ila mkikutana na tuzawadi na tupesa twa chips yai! Mnazama mazima
 
Bikra ilikuwa zawadi kwa mme usiku wa ndoa sasa hivi ni zawadi baada ya kuhonga chips
 
Jaribu kuwa unajiongeza kwa kupanua uwezo wa kifikra pindi uambiwapo vitu unbelievable kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…