Unamuita mumeo zezeta?Sa haya mazezeta yetu ndani nyumba tuyafanyaje? furaha tuyatafutie, raha tuyape,........ Jet Lee upo hai njooo unisaidie!?
Lengo la kuishi pamoja sio kuendeshana, bali kusaidiana..... na uongozi ni wa mwanamme.Huna pesa,huangalii huduma0 kwa familia ukamwendeshe mwanamke wa watu....hiyo ilikuwa mwaka 67 huko....mambo yamebadilika.
Wewe ni nani π π π πWanawake na Wanaume mkujee hapaaa mnaitwwa, kuna jamboo lenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karma yake inakuja!!Unamuita mumeo zezeta?
Cocastic buana wewe kila ukicomment lazima ucheke sikuwezWanawake na Wanaume mkujee hapaaa mnaitwwa, kuna jamboo lenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]