Mwanamke zingatia haya ni kwa faida yako


Aiseee....hawa makungwi watatuua hakyanani
 
Hawa ndugu zetu na kitchenparty zao za kusisitizwa kukamulia ndimu,limau,hiliki sijui inakuaje?
 
Kimsingi kama nilivyoeleza hapo juu wanawake wengi wanaugua matatizo hayo sehemu za uke lakini hawatilii umakini kitu ambacho hupelekea matatizo kua sugu na mwishoe ni kuharibu kwa mirija ya uzazi na kujiweka ktk hatari zaidi ya kuugua kansa ya shingo ya kizazi.
 
Sasa nimeelewa kwanin kesi za U.T.I zinaongezeka kila kukicha,asante kwa somo zuri!
 
upo juu jf dokta vile vile kuna ile ya kujifuta na kitambaa baada ya tendo la ndoa anaingiza kitambaa hadi ndani, je ikoje hii?
 
Asante,pia zingatia kuwa na mpezi mmoja au tumia kinga ufanyapo mapenzi nje ya ndoa.

So Michepuko Sio Ishu Ila Ishu Ni Kutumia Kinga Huko Unakochepukia? Sikubaliani Na Wewe
 

ukweli kwajinsi ninavyojua wakezetu wa kitanzania kwa kujisafiha.itawachukua muda mrefu sana kubadilika.wakenya wao huwa wanaweza kamaulivyoeleza.
 

Uuwii sasa tunafanyaje.. najua tunaahauriwa kutoingiza chochote zaidi ya Abdala kichwa wazi..tunasafishaje .??
 
Kwa waliokuwa hawajui, wamekupata na hopefully watabadilika.
 

Asante kwa somo zuri sana ila nauliza wat is the proper means of shavin papuchi kutumia shavin cream, blades, wax etc thanks in advance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…