Unajua kuna imani potofu kua,
1.Uke ni sehemu chafuchafu inayohitaji kusafishwa kwa sabuni,marashi,detol kila mara nje na mpaka ndani.
2.Uke unahitajika uwe mkavu wakati wote.
3.Uke unahitajika uwe hauna harufu hata kidogo .
Dhana hizi na mafundisho ya kitchen party na elimu vijiweni ndo hupelekea wanawake wengi kujirundikia maradhi sehemu zao za siri.
Asante,pia zingatia kuwa na mpezi mmoja au tumia kinga ufanyapo mapenzi nje ya ndoa.
So Michepuko Sio Ishu Ila Ishu Ni Kutumia Kinga Huko Unakochepukia? Sikubaliani Na Wewe
unajua kuna imani potofu kua,
1.uke ni sehemu chafuchafu inayohitaji kusafishwa kwa sabuni,marashi,detol kila mara nje na mpaka ndani.
2.uke unahitajika uwe mkavu wakati wote.
3.uke unahitajika uwe hauna harufu hata kidogo .
Dhana hizi na mafundisho ya kitchen party na elimu vijiweni ndo hupelekea wanawake wengi kujirundikia maradhi sehemu zao za siri.
Msishangae watu wakiomba 'picha'
Unajua kuna imani potofu kua,
1.Uke ni sehemu chafuchafu inayohitaji kusafishwa kwa sabuni,marashi,detol kila mara nje na mpaka ndani.
2.Uke unahitajika uwe mkavu wakati wote.
3.Uke unahitajika uwe hauna harufu hata kidogo .
Dhana hizi na mafundisho ya kitchen party na elimu vijiweni ndo hupelekea wanawake wengi kujirundikia maradhi sehemu zao za siri.
una lugha nzuri ya kuomba picha....
Akina dada naomba niwajuze machache huenda yakawa msaada kwenu.
1.Usitumie sabuni yeyote yenye chemical kujisafishia sehemu za siri(hupelekea kuu walinzi wa maeneo hayo na kukusabishia fungus na muasho ukeni.
2.Usitumie ndoo ya kudekia kwa kwenda kuogea(hubeba vimelea na vijidudu vitakavyokusabishia UTI na fungus.
3.Wakati wa kujisafisha baada ya haja kubwa nawa kwa kutoka mbele kuelekea nyuma(hii itasaidia vijidudu vya kinyesi visiingie ukeni na kukuletea madhara.
Asante kwa somo zuri sana ila nauliza wat is the proper means of shavin papuchi kutumia shavin cream, blades, wax etc thanks in advance.