Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Unajua kuna imani potofu kua,
1.Uke ni sehemu chafuchafu inayohitaji kusafishwa kwa sabuni,marashi,detol kila mara nje na mpaka ndani.
2.Uke unahitajika uwe mkavu wakati wote.
3.Uke unahitajika uwe hauna harufu hata kidogo .
Dhana hizi na mafundisho ya kitchen party na elimu vijiweni ndo hupelekea wanawake wengi kujirundikia maradhi sehemu zao za siri.
Aiseee....hawa makungwi watatuua hakyanani