TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Yaani Kati ya habari za kifo ambazo hazikunishtua wala kuniumiza Ni hii ya AKA sijui hata kwanini, yaani nilivyoiona ni Kama ninavyoangaliaga utabiri wa Hali ya hewa no reaction at all!
Hata mie sijui kwann, sijashtuka wala kuhisi chochoteee.
 
Back
Top Bottom