TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

Kwa huu wimbo natumaini alijiandaa na kifo.

R.I.P Hussein Jumbe
Alizushiwa kifo baada ya kuugua sana. Mwamba alipopona akaibuka na hili songi kuwahabarisha waliomtamkia mabaya kwamba bado tupoyupo sana....
 
RIP Nachechemea

Namkumbuka aliimba nyimbo moja nzuri sana ya maombolezo ya Baba wa Taifa Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere
 
BInafsi hata mimi hii nyimbo imenikumbusha mbali sana chozi limetaka kunidondoka nimekumbuka utotoni sidhani kama ni suala la me au ke kwenye kuonesha hisia
Bora umenitetea kuna nyimbo ukisikiliza yaani unajikuta unakumbuka matukio mabaya uliwahi kuyapitia ama huzuni ulizopitia unajikuta unalia 🤦
 
Pumzika kwa amani Hussein Jumbe, napenda kibao chake cha mapenzi ya siri....pole sana kwa familia
 
Niliaanguka ukaninyanyuaa mpakanjiaa🎶
Sikuweza kusimamaa mimii🎶
Hamkukata tamaa🎶🎶 mkajaribuu tenaa🎶
Mungu akawajaalia🎶 nikawashika begaaa🎶🎶

Dah nyimbo zao ziliupendezesha sana wakati wa utoto wangu, japo wao hawajanufaika na sauti zao
 
Your browser is not able to display this video.
 
Aliamba "Nachechemea" baada ya kusingiziwa kifo, tangu wakati ule mpaka hivi ni karibu miaka 20. Ameondoka kwa wakati wa Bwana. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…