Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
NachechemeaaaUnipeleke nyumbani kwenu niwajue wazazi wako mimiš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NachechemeaaaUnipeleke nyumbani kwenu niwajue wazazi wako mimiš¤
Alizushiwa kifo baada ya kuugua sana. Mwamba alipopona akaibuka na hili songi kuwahabarisha waliomtamkia mabaya kwamba bado tupoyupo sana....Kwa huu wimbo natumaini alijiandaa na kifo.
R.I.P Hussein Jumbe
Hawakukata tamaa, wakajaribu teenaWewe si Mwanaume mkuu mimi sio kama napenda huwa inatokea tu hata nikiangalia movie za kuhuzunisha.
RIP NachechemeaMwanamuziki mkongwe Hussein Jumbe amefariki muda huu wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya Amana, Dar es Salaam.
===========
Updates
Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia.
Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park āSikindeā na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.
Habari ambazo Mwananchi zimetufikia hivi punde, Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
NachechemeaaHawakukata tamaa, wakajaribu teena
Mungu akawajalia, nikawashika Bega...
BInafsi hata mimi hii nyimbo imenikumbusha mbali sana chozi limetaka kunidondoka nimekumbuka utotoni sidhani kama ni suala la me au ke kwenye kuonesha hisiaWewe si Mwanaume mkuu mimi sio kama napenda huwa inatokea tu hata nikiangalia movie za kuhuzunisha.
Bora umenitetea kuna nyimbo ukisikiliza yaani unajikuta unakumbuka matukio mabaya uliwahi kuyapitia ama huzuni ulizopitia unajikuta unalia š¤¦BInafsi hata mimi hii nyimbo imenikumbusha mbali sana chozi limetaka kunidondoka nimekumbuka utotoni sidhani kama ni suala la me au ke kwenye kuonesha hisia
Aliusihwa na kifo tokea mwaka 1999.Alizushiwa kifo baada ya kuugua sana. Mwamba alipopona akaibuka na hili songi kuwahabarisha waliomtamkia mabaya kwamba bado tupoyupo sana....
Aliusihwa na kifo tokea mwaka 1999.
Sikiliza haya mahojiano enzi za uai wake yalikuwa mazuti sana.
Nyimbo huwa zinanikumbusha sana utotoni nilikuwa napenda kusikiliza na kuchek sana mizikiWewe si Mwanaume mkuu mimi sio kama napenda huwa inatokea tu hata nikiangalia movie za kuhuzunisha.
Aisee nimesikiliza huu wimbo umeniacha na machozi mzeeKwa huu wimbo natumaini alijiandaa na kifo.
R.I.P Hussein Jumbe
Hii ngoma aliitunga lini?Kwa huu wimbo natumaini alijiandaa na kifo.
R.I.P Hussein Jumbe
"Nilianguka mkaninyanyuaa sikuweza kusimama mimi,
Hamkukata tamaa, nikajaribu teeena, Mungu akawajalia nikawashika bega...."
"Siri ya ninii, nini faida yake,
Siri ya ninii, nini hasara zake,
Siri ooh, siri ya mapenzii,
Mapenzi ya siriii, nalia lia"
Rest easy legend,
Umetuburudisha kwa sauti nzuri na mashairi mazuri.