Mwanamuziki Juma KILAZA na asili ya neno KILAZA

Sisi wakongwe tulikuwepo ukumbini wakati Juma Kilaza na Mwinshehe wakipambana
 
Kilaza, haina maana kuwa ni udhaifu. Neno kilaza linatokana na neno "Kulaza". Kulaza maana yake ni kumbembeleza aliyekosa usingizi hata apate usingizi .
Sifahamu kama jina hili kilaza, lilikuwa ni jina lake la ubini, au lilikuwa jina la kimuziki. Lakini haina maana kuwa Juma kilaza alishindwa na Mbaraka Mwishehe, kwenye mashindano ya kupiga solo guiter.
Mimi sijakaa Moro, Lakini nilikuwa shabiki wa muziki wa bendi zote mbili, (Moro Jazzo, na Cuban marimba band, ambiansy).
Juma kilaza hakuwa mpiga solo guiter, yeye ilikuwa ni composer, na mwimbaji (Lead singer, kama Mbaraka mwishehe. Tofauti kati yao ni kuwa Mbaraka alikuwa Composer, Lead vocal, na mpiga solo guiter.
Kwa muda nilipokuwa nikiangalia performance ya bendi hizo mbili, Kuna Kilaza alikuwa akiwalaza watu, kwa mziki safi wenye vina vilivyopangiliwa na pia alikuwa ni master wa kutawala jukwaa kwa uimbaji wake na sauti yake yenye mawimbi.
Kuwashindanisha Mbaraka na Juma Kilaza, si kwa upigaji wa guiter, bali kwa utunzi na uimbaji. Wote walikuwa waimbaji wazuri na watunzi pia.
Sikubaliani na wazo kuwa neno kilaza linatokana na mapungufu aliyokuwa nayo Juma Kilaza. Yawezekana Juma aliitwa kilaza kwa kuwaporomosha chini wapinzani wake kumuziki. 'Kalaga bahho'.
 
CHANZO CHA NENO KILAZA KAMA MTU MWENYE UWEZO MDOGO.

Neno hili lilianza kutumika miaka ya 1970 chanzo chake ni msanii nguli wa kipindi hicho aitwae Juma Kilaza ambaye alijiita yeye ndio gwiji wa kupiga gitaa la solo.

Lakini liliandaliwa pambano la kumpata mpiga gitaa mzuri Tanzania hivyo Pambano hilo lilimpambanisha Juma Kilaza alie kua katika bendi ya Cuban marimba na Mbaraka Mwinsheshe Mwaruka aliye kua katika bendi ya Morogoro Jazz Band.

Hivyo Mwinsheshe alimushinda Juma Kilaza hivyo Kilaza alionekana anauwezo mdogo
Tangu hapo mtu mwenye uwezo mdogo aliitwa Jina lake ambalo ni Kilaza.

Hicho ndio chanzo cha neno Kilaza.
 
Mh!
 
Hili Shindano linalosemwa halikuwahi kuwepo popoye ktk Historia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…