TANZIA Mwanamuziki Maunda Zorro afariki dunia kwa ajali ya gari, mazishi Jumamosi Aprili 16, 2022

Ajali na kifo hutokea pasipo wewe kujua,2020 oct 28 nlipata ajali mbaya sana mbele ya shelui nligonga kundi la ngombe ucku walivuka mimi nkiwa speed ...ingekua gari ndogo sidhani kama ningetoka hai
Wee hapo ni siku yako ilikuwa haijafika, sio tena mambo ya gari ndogo or kubwa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuuchoka huu wimbo pia. Nausikiliza hata sasahivi.

Akimalizia ''Najua ni ngumu wazi mi kuelezea lakini ninabidi mpenzi kwangu kukwambia.....vile ninavyohisiii.''

Pumzika kwa amani Maunda Zorro. Pole kwa familia nzima ya Zorro.
Dah hapo anapomalizia huwa panaleta hisia za ajabu sana aisee...
Kwa miaka zaidi ya kumi nautumia huo wimbo kwenye simu yangu kama 'ringtone'.
Naupenda mno na nampenda sana Maunda.
Lala salama kipenzi.
 
Pole Sana Mzee Mwenzagu Zahir Ally Zorro,
Pole Sana Banana, wanafanikiwa, ndugu, jamaa, marafiki, mashabiki, wasanii na Watanzania Kwa ujumla.

RIP Maunda Zorro.
P
 
Rest in peace Maunda Zoro tutakukumbuka ulijua kuimba Mapenzi ni ya wawili na niwe wako ni ukumbusho uliotuachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…