Basi sawalabda kwa sababu nayatenda gizani so nikiondoka matendo yangu ndio yatakayo nihukumu ila r.i.p zenu hazitanisaidia kwa sababu hamjaniandalia sehemu ya kupumzikia na huko sio kwa Mjomba wenu
na hayo ndio natakayomuangamizaSo sad, March ulituburudisha pale Angwisa village.... pumzika kwa Amani Maunda
Huwaga anaonekana kama mtu wa vyombo sana et?Ndiyo Twin
unajisikiaje kwamba humu kuna zaidi ya watu laki 5 ila wewe tu ndio hujiheshimuna hayo ndio natakayomuangamiza
Huwa nashangaa mganga wa kienyeji anapoitwa mtumishi kisa anatoa tabiri mbalimbali huku ameshika biblia mkononi huku akinyofoa vipande vya maandiko nusu nusu ili kuhalalisha ujinga wao.Mkuu, soma vyema...nimesema kuna Mtumishi alitabiri nimeweka na udhibitisho...kauli chafu za nini?
Yale huwa ni majitu mapumbavu sana. Sijui kwanini wote akili zao ni aina moja. Huwa najiuliza ni vipi mpaka wanapata leseni kwa aina ile ya akiliJuzi tu kuna askari jamaa yetu tumetoka kuzika,gari lake liliogongoana na Lori LA mchanga.
Polisi iangalie uwezekano kudhibiti madereva wa malori ya mchanga-ni matatizo.
Acha ukenge weweakavune alichopanda kwa Mungu sio kwa Mzungu.
mpaka anakufa bado anaendekeza anasa za dunia tu
nina uhakika ndio maana nikaandika haya.Acha ukenge wewe
Una uhakika unachosema?
We hapo huna dhambi?
😂😂 Sitaki kucheka, tuna msibaunajisikiaje kwamba humu kuna zaidi ya watu laki 5 ila wewe tu ndio hujiheshimu
MfyuuuuuDaah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo