TANZIA Mwanamuziki Maunda Zorro afariki dunia kwa ajali ya gari, mazishi Jumamosi Aprili 16, 2022

TANZIA Mwanamuziki Maunda Zorro afariki dunia kwa ajali ya gari, mazishi Jumamosi Aprili 16, 2022

Daaaaah Maunda Umetuacha....
Lakini kule Kijijini kwetu WANASEMA KILICHOMUUA NI HIYO MITI inayoonekana kwa Picha ya nyumbani kwake. Anyway kila mtu ana imani yake tuyaache hayo na dada yetu apumzike kwa Amani!
Hiyo imani ya mti huo ...waswahili hawakosagi neno.
Huwa wanasema ni mti dume unaua wanaume
 
Usanii tu hata angekufa mtu mwingine angesema katabiri. Utabiri gani hauna hata maelezo ya kutosha wala timeframe ila neno tu tasnia ya burudani. Hata mimi naweza kusema naona umauti kwenye siasa.
Hata akifa mwenyekiti au mwanasiasa yoyote baada ya miezi nasema nlitabiri
Sema basi na wewe.
 
Tatizo sio lorry la michanga ni mabovu hayana hata parking lights hata kuweka reflector shida ndio maana utakuta wantembea usiku hii ndio shida
 
Huwa nashangaa mganga wa kienyeji anapoitwa mtumishi kisa anatoa tabiri mbalimbali huku ameshika biblia mkononi huku akinyofoa vipande vya maandiko nusu nusu ili kuhalalisha ujinga wao.

Ktk Ukristo hakuna unajimu wa hivyo hao wasoma nyota ni waganga kama waganga wengine tofauti wao wanavaa suit na kuendesha magari hawajajifunga mashuka mekundu kama mliowazoea.
Kama ni mganga au tapeli atajua yeye na Mungu wake, binafsi siwezi mhukumu Mtumishi wa Mungu.
 
Msibani wanachokaga sema ulilewa poleni acheni kunywa kulewa na kuendesha gari

Rest in peace
 
Duh jamani nimesikitika sana RIP Maunda, Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akurehemu kipenzi, na awape faraja itokayo kwake wanao, baba yako na familia yako nzima. Sisi ni mavumbi na mavumbini tutarejea.
 
Inasemekana Marehemu alikua kanywa na yeye ndiyo alihama njia kwenda kugonga Lori.

Tuwapunguzie lawama wasio na makosa
Huyu si muislamu ama hakuwa kwa mfungo, anyway apumzike kwa amani
 
RIP Maunda,nimeumia sana.Mungu aifariji familia yako na akukuzie wanao
 
Back
Top Bottom