Mwanamuziki Mkenya awa bora kuzidi wote Afrika, apata tuzo

Sasa kwani khaligraph alishawahi kubadili flow?? Tokea namjua anaflow ileile yani tunaweza tukaweka beat moja refu akachana ngoma zake zote na tukajua ni verse moja refu tu
Ushaisikiliza ngoma ya Superman?
 
Opinions are like assholes,everyone has one.
Good.
Appreciate, don't hate. Matter of fact, hakuna rapper yeyote ndani ya bongo anayeweza ku-battle nje ya bongo.... sio kwa zile ze, ze, ze, zenu.
The OG shall be respected.
 
Hizi punchlines ndio uzilinganishe na za OG?
 
Niukweli hata sisi humu tunaweza kutoa mistari mikali kuliko kaligraphy japo sio wasanii

Huyo kali ana bang kenya kwasababu hakuna wasanii ila angekuwepo hapa bongo angefichwa

It's Scars
Kwahiyo unamaanisha Khaligraph amepata "award" ya msanii bora wa hip hop Afrika kwasababu "anabang" Kenya tu?
 
Kwahiyo unamaanisha Khaligraph amepata "award" ya msanii bora wa hip hop Afrika kwasababu "anabang" Kenya tu?
Joh makini alipopata tuzo kwenye nyimbo ya nusunusu kama msanii bora wa hip hop tanzania hiyo ilimaanisha joh makini ni mkali wa hip hop kuzidi niki mbishi?



It's Scars
 
Songa anakuambia "hata ukinitupa kenya nita run 2.5.4 kamuulize kaligraph"

Sasa je ukimtupa niki mbishi kenya, si ata run kama pac?
Mara ya mwisho "Bongo" kuingiza msanii wa hip hop kwenye tuzo za kimataifa ni lini?
 
Joh makini alipopata tuzo kwenye nyimbo ya nusunusu kama msanii bora wa hip hop tanzania hiyo ilimaanisha joh makini ni mkali wa hip hop kuzidi niki mbishi?



It's Scars
Unachoniuliza hakiendani kabisa na nilichokuuliza.
Umesema Khaligraph anatamba Kenya tu coz hakuna wasanii wengi wakali ndani ya Kenya.
Nimekuuliza,tuzo ya msanii bora wa hiphop Afrika ameipata kwasababu anatamba ndani ya Kenya tu?
 
Good.
Appreciate, don't hate. Matter of fact, hakuna rapper yeyote ndani ya bongo anayeweza ku-battle nje ya bongo.... sio kwa zile ze, ze, ze, zenu.
The OG shall be respected.
I don't hate on the boy KJ..I tip my hat amefika mbali na pazuri Kwenye game ya hip hop Africa,,,na kufika apo lazma imeinvole vitu kama promotion,management etc.
But what I'm saying is when it boils down to pen and paper and rhyme schemes punchlines, metaphors and word play he is peanuts compared to other emcees
 
Unachoniuliza hakiendani kabisa na nilichokuuliza.
Umesema Khaligraph anatamba Kenya tu coz hakuna wasanii wengi wakali ndani ya Kenya.
Nimekuuliza,tuzo ya msanii bora wa hiphop Afrika ameipata kwasababu anatamba ndani ya Kenya tu?
We ndio unaona kama hakiendani

Kwani kutamba kunaangaliwa kwa kigezo cha tuzo?

Mziki ulikua kipaji leo unatia hasira, umekua kazi unafanywa na waliokosa ajira/

Nakupa kidogo kilichokosa amira, kigezo kwenye uwezo sio mchezo ni hira/

It's Scars
 
Hizi punchlines ndio uzilinganishe na za OG?
Dear sirGod ni wewe tu ndo unanijua,
Kimawazo kiakili mimi ni mtoto ninakua,
Nina uchungu wa moyo,niwewe tu wa kunichua,
Adui wangu wa kwanza,hah! Nishamuua.

Coz kuna stori dem wangu ana umeme na shoti wanamshtua,
Masela dakka zero ashaibuka geto wanamuipua,
Ninaowaamini hawana dini hawana dua,
Nikianguka wanashushua,

Mi ni kocha wa thamani sometimes nina kochi hadi meza,
Wanadai wanakimbiza mi ntawalipa wanapoteleza,
Ndomana nipo sharp kama lazor, Gillette
Napochana Jilete,
Nikuchane,nikiwa na pesa wako fasta kama jet
Nikiwa na shida kama Michael wana'escape.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…