LOL kusoma college π ndio kusoma kabisa Kenya?Show zipi za kimataifa, labda huyo Vanessa nafuu yake kasomea Kenya hivyo hata IQ na kutema yai yuko freshi.
LOL huyo stamina me mwenyewe sizijui sana ngoma zake na ni mbongo lakini recently his new song was trending on Kenyas YouTube for about 2 weeks (top 5 & 10 trends)huyu ndio Roma?
Alafu kuna Stamina? Nieleweshe π
lol and still trending even nowhuyu ndio Roma?
Alafu kuna Stamina? Nieleweshe π
Msani kama anaimba vyema atajuliana tu hata angekuwa nchi gani na wala haihitaji mtu awe na exposure yoyote kumfahamu msani. Msani gani unayemfahamu wewe na familia yako then unaingiza mambo ya exposure. Hajulikani hajulikani tu.
Ni maoni yako pia unaweza ukawa uko sahihiUno is good than all other Tamaduni's combined, Ukimtoa P the Mc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mliishi nao sehemu gani ya Dsm? Usipojibu, itakuwa dhahiri kuwa unadanganya.LOL kusoma college π ndio kusoma kabisa Kenya?
Shule zote kuanzia primary mpaka a level kasomea Tanzania, mimi Mars kasomea Shule Vanessa aliosoma na anaongea English huenda kumpita hata Vanessa
Of course they used to be our next-door neighbours so you can't tell me nothing about them
Mliishi nao sehemu gani ya Dsm? Usipojibu, itakuwa dhahiri kuwa unadanganya.
lazma umkubali tu... hakuna namna.namkubali sana khaligraph
True story bruh! Wafahamishe na wenzako pia.
si waga anakuja kujifunza kuchana hapa hapaHawa napata shida kuwaeleza kwasababu hata kiswahili hawakijui, sidhani kama haya tunayoyaongea wanayaelewa
Huyo kaligraph ukimpeleka lunduno/tamaduni anafichwa anabaki kua underdog
It's Scars
True story bruh! Wafahamishe na wenzako pia.
LOL wameishi Arusha Riverside Philips not DarMliishi nao sehemu gani ya Dsm? Usipojibu, itakuwa dhahiri kuwa unadanganya.
Na nyinyi pia mliishi huko?LOL wameishi Arusha Riverside Philips not Dar
PreciselyNa nyinyi pia mliishi huko?
Ni mimiNa huyu ni msani? Ndio namsikia Leo sijui hata wimbo wake hata mmoja
Eyooo! Naivasha just say Nakuru pleaseHivi nyimbo zake zinapigwa redio gani?
Maana hata kwenye Tv sijawahi kumwona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unaachaje kunijua Papa Jones kwa mfano?Unadhani ukimfahamu wote wanamfahamu? Na unadhani wote wanaishi kijijini? Nawashangaa sana mnaposema mnatawala kimziki. Sijui Wakenya mtaachaga lini ujinga wa kujisifia kwa taarifa yenu wasani wanaofahamika Bongo. 1. Sauti solo 2. Bahati 3. Willy Paul hao kidogo ndio maarufu lakini takataka nyingine hatuzijui ndio maana nimekwambia huyu msanii hajulikani na hata sijui anaimba vitu gani.
Yani hunijui kabisa?wakenya kwa majigambo ..Kaligraph ni msanii mzuri ila hana jina sana kwa bongo mpaka uwe mfuatiliaji sana wa muziki ndio utamjua halafu acha kubrag na hizo tuzo za soundcity sijui ni moja ya vijituzo vidogo sana wala havina heshima kihivyo. lastly Bongo ndio baba lao katika music indutry kwa east africa. case closed
Sent using Jamii Forums mobile app