Mwanamuziki Mkenya awa bora kuzidi wote Afrika, apata tuzo

Show zipi za kimataifa, labda huyo Vanessa nafuu yake kasomea Kenya hivyo hata IQ na kutema yai yuko freshi.
LOL kusoma college πŸŽ“ ndio kusoma kabisa Kenya?

Shule zote kuanzia primary mpaka a level kasomea Tanzania, mimi Mars kasomea Shule Vanessa aliosoma na anaongea English huenda kumpita hata Vanessa

Of course they used to be our next-door neighbours so you can't tell me nothing about them
 
huyu ndio Roma?
Alafu kuna Stamina? Nieleweshe πŸ˜‚
LOL huyo stamina me mwenyewe sizijui sana ngoma zake na ni mbongo lakini recently his new song was trending on Kenyas YouTube for about 2 weeks (top 5 & 10 trends)
 
Jamaa anajitahid saana ilo sipingi... Ila kwenye tasnia ya muziki in general kenya hakuna kitu kabisa.

Hata uyo khali mwenyewe alithibitisha alivyokuwa huku TZ.

Ukiacha.
Octopizo.
King kaka.
Khali.

Ni nani mwingine kwa hip hop yuko gud
Utaskia mruya wa busia, mara prezoo...
Sijuh pinyee, dj magix na wale wala kaya wengine wanaimbaga mbovu saana dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msani kama anaimba vyema atajuliana tu hata angekuwa nchi gani na wala haihitaji mtu awe na exposure yoyote kumfahamu msani. Msani gani unayemfahamu wewe na familia yako then unaingiza mambo ya exposure. Hajulikani hajulikani tu.

Huyo ana mtindio wa ubongo mkuu,mpuuze tu,ana tanzaphobia huyo
 
Mliishi nao sehemu gani ya Dsm? Usipojibu, itakuwa dhahiri kuwa unadanganya.
 
Yani unaachaje kunijua Papa Jones kwa mfano?
 
Yani hunijui kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…