Mwanamuziki Mkenya awa bora kuzidi wote Afrika, apata tuzo

Mwanamuziki Mkenya awa bora kuzidi wote Afrika, apata tuzo

Unadhani ukimfahamu wote wanamfahamu? Na unadhani wote wanaishi kijijini? Nawashangaa sana mnaposema mnatawala kimziki. Sijui Wakenya mtaachaga lini ujinga wa kujisifia kwa taarifa yenu wasani wanaofahamika Bongo. 1. Sauti solo 2. Bahati 3. Willy Paul hao kidogo ndio maarufu lakini takataka nyingine hatuzijui ndio maana nimekwambia huyu msanii hajulikani na hata sijui anaimba vitu gani.
😂😂😂 Wewe husikilizi hip hop so huwezi mfaham Og
So kasikilize taarab huko 😂😂😂
 
Muziki wa Kenya naujua toka enzi za OGOPA ambapo wasanii wa Bongo video kali walikua wanaenda kufanyia kenya watoto wa juzi hawayafahamu haya.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Kweli uko sawa. Unaifahamu muziki wa Kenya. Nimefurahi kujua kuna Mtanzania kama wewe.
 
Wewe mzee mbona unalihusudu sana Yai?
Btw kuna jamaa anaitwa FidQ ni rapper mmoja mzuri sana ila sijui hua anakwama wapi kunyakua tuzo kama hizi...
Kaligraph sina shaka nae mimi nakubali sana nyimbo zake!!Na kinachomsaidia hua anaboresha sana mashairi yake lakini habadili style yake ya kuchana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo umeongea jambo zuri kuhusu Kenya. Sijui umekula nini leo.
 
Sio alumni, hakumaliza university wala hajaenda law school maana alipata deal la kuwa presenter MTV. Yupo njema upstairs kiukweli
Kama angesomea Tanzania angekuwa akili mgando.
 
stupid kenyans..

we made you create the hashtag playKEmusic..

Our musicians are played all over Kenya, they get paid more than Kunyans at their own land .

We are the kings of entertainment industry in E.A....

come with another sh*t...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu huyo jamaa ni popular sana kwenye hip hop zile ngumu. Sema hip hop ngumu haipendwi na wadau wengi na ndio maana unaona kama hawajulikani

Ila kiuwezo hamfikii niki mbishi hata kwa dawa
Sema tu ni vile huelewi kiingereza.
 
wakenya kwa majigambo ..Kaligraph ni msanii mzuri ila hana jina sana kwa bongo mpaka uwe mfuatiliaji sana wa muziki ndio utamjua halafu acha kubrag na hizo tuzo za soundcity sijui ni moja ya vijituzo vidogo sana wala havina heshima kihivyo. lastly Bongo ndio baba lao katika music indutry kwa east africa. case closed

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza mkuu
 
Kujulikana Bongo sio kigezo cha kuwa msanii bora, nyie huko huwa mumesindikwa ndani ya aina moja ya muziki, halafu pia nje ya yule Mrundi wa Kigoma anayeitwa Diamond, hakuna msanii mwingine wenu anayefahamika kimataifa, makajamba wengine wote hupigia makelele huko na wakisonga sana labda wafike Kenya.
Kwani Kenya Kuna msanii gani anayejulikana kimataifa (nje ya E.A)?
 
Ndio maana nilisema wengi wenu huwa hamna exposure, mnazungukia na kuishia hapo hapo Bongo. Hamjui chochote au lolote nje ya Mondi, Kiba na sijui akina wengine hao huko kwenu akina Amber Rutty...hehehehe
👁️😁😁😁 Amber rutty Ni that pornstar alikuea anachunishwa mboga?
 
Back
Top Bottom