Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikuwa hatari, nikitulia mara moja moja huwa naisikiliza kazi hiyoApumzike kwa amani. Napenda sana wimbo wake wa baba paroko.
Shibola.Fungua njia kitoto cha anza tambaa .RIP Mwanza mpango!
Huo wimbo ni WA mtoto wa Mzee Makassy aitwaye Munsemba MakassyApumzike kwa amani. Napenda sana wimbo wake wa baba paroko.
Asante kwa taarifa. Basi nayeye aliufanyia cover.Huu wimbo aliimba Makasy Junior.
Asante kwa taarifaHuo wimbo ni WA mtoto wa Mzee Makassy aitwaye Munsemba Makassy
Hakika. Kuna wimbo hapa nasikiliza aliimba Salum Abdallah wa Cuban Malimba. Unaitwa “Naomba nipate LAU NAFASI “.Asante kwa taarifa. Basi nayeye aliufanyia cover.
Fungua njia kitoto.apumzike mahala pemaAmekula chumvi nyingi, tusherehekee maisha yake.
Apumzike kwa amani.
Wazee wetu walikuwa na vipaji. Nakisilikiza nyimbo zao nafarijika sana.Hakika. Kuna wimbo hapa nasikiliza aliimba Salum Abdallah wa Cuban Malimba. Unaitwa “Naomba nipate LAU NAFASI “.
Hapa nasikiliza Kaimba Makasy Jr . Na Ameimba Vizuri mno cover hiyo.
Acha kuchekesha watu msibaniRIP classmate.
Jamaa nilisoma nae huyu shule moja na mzee Zahir Zoro, alipenda sana kuimba.
Duh! Apumzike kwa amani.
Kama yeye hakutubu haya maombi ni bure tu. Hata aombewe na maaskofu bilion 10ni kweli amefariki,Mola amsamehe makosa yake na kumweka peponi
Huwezi kuamini.Acha kuchekesha watu msibani
Pole sana mkuu😄Yale matukio ya wimbo wa Baba Paroko yalinitokea Yote. Uvumilivu Umenisaidia.