Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wahenga nawaona mnavyolia .Marehemu Josky Kiambukuta alikuwa mwanamuziki hodari aliyeimba katika bendi ya Tp okk jazz ya marehemu Franco, alijiunga na band hiyo mwaka 1973.
Duh....nina miaka 3
Kumbuka alias yake nyingine ni Djo Sex. Hata sisi tulikuwa handsome boys sijui kwa sasa tukoje.Kwa sisi Bakurutu ni pigo kubwa sana! Ukiacha sura yake mbaya lakini alikuwa na sauti tamu sana!
Oh tp okk jazz ilikuwa na ma legend ,Ila wamepukutika karibu wote kuanzia luambo makiadi,madilu,tabu ley,ndombe opetumKuna watu wakifariki inabidi ku-celebrate maisha yao kwa urithi wanao acha nyuma. Commandant Josky ni mmoja wao. 1969 alikuwa na Dr. Nico halafu akaingia Continental Orchestra na 1973 rasmi akakaribishwa TP OK JAZZ ya Luambo na Lutumba. Huyu ndio sauti ya OK Jazz kwani ameshiriki kuimba nyimbo nyingi kuliko muimbaji yeyote wa TP OK JAZZ.
Anaimba kwa madaha sana na hupanda na kushuka. Lakini pia ni mtungaji nyimbo wa kiwango cha juu kabisa akiwafuatia Franco na Simaro kwa ubora na wingi wa tungo zake. Ameacha ngoma kama Chacun poir soi (papa yoyo) na Bimasha ngoma ambazo zilikuwa zinamvuruga mzee mzima Franco akiwa kwa stage. Alikuwa karibu sana na Lutumba Simaro ambaye ndie alimleta TP OK JAZZ. Adios vieux Josky.
[emoji106]Poleni sana familia kubwa ya Josky Kiambukuta bila kuwasahau vijana wa zamani, huu muziki Chandra utadumu sana kama ulivyotukuta vijana wa sasa.
Tabu Ley ni wa Afrisa International hasimu mkubwa wa Luambo.Oh tp okk jazz ilikuwa na ma legend ,Ila wamepukutika karibu wote kuanzia luambo makiadi,madilu,tabu ley,ndombe opetum
Mm nipo hapa naburudika na kibao NZELE chake madilu aisee zamani wasanii waliimba kwakweliApumzike kwa amani, nilikuwa namuona youtube. Mkuu nipo nasikiliza fanta sebene ya Madilu.
Nyie ni kizazi cha 1990's na 2000's bila shakaKaka hatumjui huyo.. jaribu kurudisha miaka nyuma
ExactlyAlizaliwa Valentine's Day.
Oh walipiga colabo fulani ya wimbo NGUNGI Ni wimbo mzuri mnoTabu Ley ni wa Afrisa International hasimu mkubwa wa Luambo.
Choc choc choc project ilikuwa colabo kati ya Tabu Ley, Franco na Michelino. Tabuley alishuka na Ngungi, Franco akaja na double album baadae Tabuley akadrop Michelino akaja na album yenye Mtambula Mpipa na Leila na Josky akaja na double album yenye Missile, Tu mechante na Chacun poir soi. Josky alishiriki kuimba karibu nyimbo zote na nyimbo nyingine aliimba sauti zote. Hiyo ilikuwa 1983.Oh walipiga colabo fulani ya wimbo NGUNGI Ni wimbo mzuri mno
Machozi yananilengalengaChoc choc choc project ilikuwa colabo kati ya Tabu Ley, Franco na Michelino. Tabuley alishuka na Ngungi, Franco akaja na double album baadae Tabuley akadrop Michelino akaja na album yenye Mtambula Mpipa na Leila na Josky akaja na double album yenye Missile, Tu mechante na Chacun poir soi. Josky alishiriki kuimba karibu nyimbo zote na nyimbo nyingine aliimba sauti zote. Hiyo ilikuwa 1983.
Alitisha Sana,alikuwa anataka kumfunika luamboChoc choc choc project ilikuwa colabo kati ya Tabu Ley, Franco na Michelino. Tabuley alishuka na Ngungi, Franco akaja na double album baadae Tabuley akadrop Michelino akaja na album yenye Mtambula Mpipa na Leila na Josky akaja na double album yenye Missile, Tu mechante na Chacun poir soi. Josky alishiriki kuimba karibu nyimbo zote na nyimbo nyingine aliimba sauti zote. Hiyo ilikuwa 1983.
Alitisha Sana,alikuwa anataka kumfunika luamboChoc choc choc project ilikuwa colabo kati ya Tabu Ley, Franco na Michelino. Tabuley alishuka na Ngungi, Franco akaja na double album baadae Tabuley akadrop Michelino akaja na album yenye Mtambula Mpipa na Leila na Josky akaja na double album yenye Missile, Tu mechante na Chacun poir soi. Josky alishiriki kuimba karibu nyimbo zote na nyimbo nyingine aliimba sauti zote. Hiyo ilikuwa 1983.