Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ubaguzi una play part kwa kiasi chake. Kwamfano katika kesi ya R Kelly anapambana na ubaguzi wa kijinsia na ubaguzi wa rangi.
Kesi imesimamiwa na judge mwanamke ambaye ni feminists. Nyuma ya waandaaji wa hii documentary wanaoitwa Lifetime, kuna kundi la mafeminist ni misandry by nature.
Inastaajabisha ghafla bin vuu hawa wadada kwa miaka yote walikuwa kimya na hakuna aliekwenda kufile kesi hadi leo hii ghafla wote waibuke kwapamoja?!
Kwann kaka yake R.kelly na mdogo wake walishiriki na kumsagia kunguni ndugu yao?! Juzi hapa yule mdogo wake R. Kelly anaitwa Carey nadhani , amefanya interview na mdada m'moja anakipindi chake, kwa maneno yake anatamka kwamba anajiskia vibaya kuona ndugu yake anakwenda chini na anasema kuwa alitumia hasira na jazba wakati wa ile documentary angejua asishiriki maana inamtafuna ndani ya nafsi yake.
Kuna aliyekuwa mkewe, sababu ya visasi na kuona jamaa alimtema alikuwa ameweka kihoro moyoni na kushiriki ile documentary kumsema vibaya.
Huyu pamoja na wanawake walioshirikishwa wengi ambao walikuwa na mahusiano nae miaka ya nyuma na hawapo nae tena ndio wametumika kutoa ushuhuda kuelezea ubaya wa r.kelly sasa ndugu yangu unategemea nini hapo, kwamba X wako uliyeachana nae vibaya atakusemea mazuri, na amelipwa kushiriki hiyo documentary ya kimchongo?!
Kwann watu wengine wanaomkubali R Kelly hawakushirikishwa kuna mabinti wengi sana ambao wamekiri kuwa na mahusiano nae na kulala nae ila walipopewa script ya maswali wakaona wanasetiwa kumsagia kunguni R kelly na wakaona documentary ni ya mchongo waka kataa na walimjulisha R Kelly mapema kuwa jamaa wanatutafuta wanatushawishi kuandaa documentary kwaajiri yako na wanatuahidi kitulipa, r Kelly ndio maana alikuwa anasema kuna watu wanataka kuniharibia na kunichafua na hawatapumzika hadi watakapofanikisha.
Mfano Celine Dion alisema wazi kupitia msemaji wake kuwa hana jambo baya la kusema juu ya R.kelly sababu hamjui kwa ubaya bali kwa mazuri yake. Ila alikataa kushiriki sababu waandaji wa ile Documentary walikuwa wakilazimisha aongee uovu ambao yeye haujui na hana ushaidi nao hivyo akakataa.
Ukitazama nyuma ya pazia kuna watu ambao wanachuki na R. kelly na ndio wamejiunga kumfanyia ubaya.
Ni sawa na Miaka 20 ijayo tuje kusikia kuwa mtoto wa kajala,Paula anamshitaki Rayvan kuwa aliingia nae kimahusiano akiwa mdogo so alimbaka. Kimsingi hapa jamaa kafungwa kimchongo.
Kuna watu wengi wanafaidika kupitia r. Kelly kuwa kifungoni. We jiulize kaka zake wa damu moja wameshiriki wakati r. Kelly ana washkaji zake ambao wamegoma kushiriki. Hii wamefanya kusudi sababu wametake advantage ya ugomvi uliopo katika ya r Kelly na ndugu zake ambao wamekuwa wakitaka mgao wa mali zake kitu ambacho yeye amekuwa anakikwepa sana.
So yote kwa yote watu weusi shida yetu ni taasisi imara. Hatujui kusimamisha taasisi imara za kututetea katika uso wa dunia.
Tazama Floyd Mayweather alipouwawa waafrika walilalamika ile ya kawaida ila wazungu walipoingia barabarani kuandamana kila sehemu na mataifa mbali mbali ndipo waafrika nao wakaingia barabarani na yule askari ndio akachukuliwa hatua.
Ila R Kelly hapa anafanyiwa uhuni jamik ya mwafrika tunaishia kukoment na kumchafua ndugu yetu.
Kama ana hatia kwann kesi yake ina makando makando mengi sana. Kwani unataka nambie kwa marekani mtu kulala na binti wa miaka 17 au 16 ni jambo anafanya r Kelly tu mbona wakisema wafanye ukaguzi watu wote wataenda ndani tena sio watu weusi tu hadi wazungu. Mabinti anaolala nao wengi ni vile vimicharuko vya huko uswazi vinajipeleka ili vimdangie. Mbona kuna mabinti kibao wamemkalia mbali. Kubaka ni neno zito ati. Inabidi mtu atumie nguvu za mwili kukulala, ila kama alikushawishi ukafuata mshipi mwenyewe usiite kupakwa hapo ulishiriki. Haya ndio mambo ya binti kupewa mimba halafu anafungwa mwanaume anasemwa kabaka.
Hapa wamemshambulia jamaa hawajamshitaki
Kwa masahihisho tu Mkuu alieuwawa anaitwa George Floyd najua hukua na maana ya Bondia [emoji1417]