johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama Lengai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubake afu usingizie ngoziMwimbaji wa Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono.
Mnamo Septemba, mahakama ya New York ilimtia hatiani msanii huyo wa R&B, mwenye umri wa miaka 55, kwa uhalifu wa ulaghai na ulanguzi wa ngono uliofanywa kwa zaidi ya miongo mitatu katika tasnia ya muziki.
Mzaliwa huyo wa Chicago - ambaye jina lake halisi ni Robert Sylvester Kelly - tayari amekaa gerezani kwa takriban miaka mitatu.
Kwa sasa anakabiliwa na mashtaka tofauti ya uhalifu katika kesi nyingine tatu.
NGOZI NYEUSI TUNAONEWA SANA.
View attachment 2276937
I believe i can touch the sky.I believe I can fly[emoji26][emoji26]
Anakaa jela zaidi ya miaka 15, aliyefungwa miezi 6 anakaa mi4Akimaliza kifungo atakuwa na miaka 70.
55 umri alionao
30 day and night =15..
Tumuombe amejutia na kutubu makosa yake..
Nope Not anymoreI believe I can fly[emoji26][emoji26]
Akimaliza kifungo atakuwa na miaka 70.
55 umri alionao
30 day and night =15..
Tumuombe amejutia na kutubu makosa yake..