Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Mwimbaji wa Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono.

Mnamo Septemba, mahakama ya New York ilimtia hatiani msanii huyo wa R&B, mwenye umri wa miaka 55, kwa uhalifu wa ulaghai na ulanguzi wa ngono uliofanywa kwa zaidi ya miongo mitatu katika tasnia ya muziki.

Mzaliwa huyo wa Chicago - ambaye jina lake halisi ni Robert Sylvester Kelly - tayari amekaa gerezani kwa takriban miaka mitatu.

Kwa sasa anakabiliwa na mashtaka tofauti ya uhalifu katika kesi nyingine tatu.


NGOZI NYEUSI TUNAONEWA SANA.
View attachment 2276937
Ubake afu usingizie ngozi
 
R.kelly hayo yasinge mkuta kuna kipindi nchi nyingi zilipenda hapate uraia ila kwa vile utamu wa USA na nyumbani basi 30 ndio unatumia mpaka kufa kwako
 
Back
Top Bottom