Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Kauli ya kipumbwa sanaDaah
Watu weusi ni noma
There was no need to bring race card hapo
Uhalifu wa kingono hauna issue ya weusi au weupe
Bladifuul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli ya kipumbwa sanaDaah
Watu weusi ni noma
Hivi KUMBE wanahesabu day and night?Akimaliza kifungo atakuwa na miaka 70.
55 umri alionao
30 day and night =15..
Tumuombe amejutia na kutubu makosa yake..
Ni wakati Gani na ni nchi zipi zilimtaka?R.kelly hayo yasinge mkuta kuna kipindi nchi nyingi zilipenda hapate uraia ila kwa vile utamu wa USA na nyumbani basi 30 ndio unatumia mpaka kufa kwako
Huyu atakuwa alitofautiana na wenye dunia ( babylon system),freemasonsDah! Manigga Kelly! The storm is over!
Utashangaa badae akikaa miaka kadhaa ataachiwa watasema alifungwa kimakosa ,lengo ni kujeruhi nafsi za wanadamuHapa inshu siyo mtu mweusi au mweupe.
Jela kivyovyote vile ukiona mtu kahukumiwa kwenda huko, siyo jambo la kukenua meno na kuchekelea.
Jela unaweza kwenda hata wewe, iwe umetenda kosa au haujatenda.
Polepole ana miaka 60 sasa so atakuwa na miaka 90 mavi yake
urais wa manzese au?Akirudi mtaani pipi moja itakuwa tsh 4000 na sukari kilo moja itakuwa laki tatu na nusu, kwa lugha nyepesi jamaa anarudi uraiani anakuta hadi Humphrey Polepole amemaliza term yake ya pili ya urais.
Hii ilikuwa nomaaa.Trapped in the closet 😀😀😀
Mkuu Ghislaine Maxwell kahukumiwa miaka 20 kwa kusaidia unyanyasaji. Hakuna suala la rangi hapa. Tatizo ndugu zetu wengi wakipata pesa na umaarufu wanageuka miungu. Wanataka kulazimisha kila wanachotaka.Mwimbaji wa Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono.
Mnamo Septemba, mahakama ya New York ilimtia hatiani msanii huyo wa R&B, mwenye umri wa miaka 55, kwa uhalifu wa ulaghai na ulanguzi wa ngono uliofanywa kwa zaidi ya miongo mitatu katika tasnia ya muziki.
Mzaliwa huyo wa Chicago - ambaye jina lake halisi ni Robert Sylvester Kelly - tayari amekaa gerezani kwa takriban miaka mitatu.
Kwa sasa anakabiliwa na mashtaka tofauti ya uhalifu katika kesi nyingine tatu.
NGOZI NYEUSI TUNAONEWA SANA.
View attachment 2276937