Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Huwezi wakimbia dunia yote yao popote wapoR.kelly hayo yasinge mkuta kuna kipindi nchi nyingi zilipenda hapate uraia ila kwa vile utamu wa USA na nyumbani basi 30 ndio unatumia mpaka kufa kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi wakimbia dunia yote yao popote wapoR.kelly hayo yasinge mkuta kuna kipindi nchi nyingi zilipenda hapate uraia ila kwa vile utamu wa USA na nyumbani basi 30 ndio unatumia mpaka kufa kwako
Alitaka kuokoka wakamuwahi.Umecheki walivyolifix kundi la Hillsong lililomlea Justin Bieber Iililomlea kirohoHuyu atakuwa alitofautiana na wenye dunia ( babylon system),freemasons
Kesi zimefufuliwa ni baada ya kutaka kuiacha systems iliyomleaHuyu long time alikuwaga na skendo ya kugegeda watoto wadogo
Kuna watu ni kama wana addiction ya kutembea na watoto wadogo hata huku kwetu wapo
Any way ndiyo hivyo tena umaarufu umemchangia
Ova
Kaikosea system iliyompa umaarufu na sio kawakosea wamarekaniJamaa sijui kawakosea nini wamarekani aisee.
Kaongea kisambaa hapoSamahani Mkurugenzi! Hata kama umeguswa sana na hii hukumu, ungejaribu kuedit kidogo haya maandishi yako ili kuleta maana halisi ya kile ulicho maanisha.
Uandishi wa huyo jamaa ni wa ki-mwendokasi pasipo na break pads.Samahani Mkurugenzi! Hata kama umeguswa sana na hii hukumu, ungejaribu kuedit kidogo haya maandishi yako ili kuleta maana halisi ya kile ulicho maanisha.
Hanasa=AnasaWaafrika tukipata mali tunaendekeza sana hanasa. Mwenyezi Mungu amsaidie kwenye rufani
Epstein mpaka akakodi kisiwaSafi sana akafie jela
Kwa wasiojua tu huyu jamaa alikutwa kwenye laptop yake images za watoto wadogo mpaka miaka miwili wakiwa uchi akiwa ame download images zaidi ya Elfu tatu
Amebaka sana ameshiriki ngono kwa underage
Hakuna ubaguzi hapo bali alitenda madhambi yote
Kuna watu washenzi sana hivi unaanzaje kuwa na mapenzi ya kuangalia uchi wa mtoto wa miaka miwili au mitatu kama sio sicko?
Jeffrey Epstein alikuwa mweupe kafa na dhambi zake na alikuwa rafiki mkubwa wa Prince Andrew na watu wamemchukia Andrew kuwa na rafiki wa hivyo
Nae alikuwa na kesi kama hii hii ya Kelly na alihukumiwa miaka 20 jela na baadae kukutwa kafa jela ya Manhattan
Epstein mpaka akakodi kisiwa
Dah!... Kwisha habari yake.I believe I can fly[emoji26][emoji26]
Hata yeye hakuwaonea huruma aliowatendea uovu.Dah hata huruma hawana
Huu wimbo ni one of my favorite songs of all time. Mara ya kwanza nauona nlikuwa darasa la nne aisee leo ni 30+If he could turn back the hands of time 😀😀😀
Yah man muda unakwenda mbioHuu wimbo ni one of my favorite songs of all time. Mara ya kwanza nauona nlikuwa darasa la nne aisee leo ni 30+
Sasa yeye binti kwann alikubali?Huyu jamaa kwa nini aliamua kufanya hivi ndo swali najiuliza ...!
View attachment 2277388