Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

Mwanamuziki Robert Kelly (R. Kelly) afungwa kifungo cha miaka 30 jela

If he could turn back the hands of time [emoji3][emoji3][emoji3]
When woman loves[emoji848][emoji848]

Sema nini badae watampunguzia miaka tu

Si unaona Babu Bill Cosby nae alibaka akafungwa maisha badae kakaa zake miaka miwili akaachiwa[emoji848][emoji1745]


Naogopa asijiue asee mzee wa LONGEST TONE in the world
 
I believe i can touch the sky.

I think about it every night and day.

Damn R.Kelly what happened my nicca!!! Damn hats ukipotea tutakukumba u inspired us through your music

Dammit!!
We acha tu...Kuna wimbo wake mmoja unatwa "THE BACKYARD PARTY sijui nimeupatia amejaza hao Malaya kwake Chicago, nasikia ndo wamemponza!

Ila jamaa he's king of RnB no matter what[emoji26][emoji26]
 
Safi sana akafie jela
Kwa wasiojua tu huyu jamaa alikutwa kwenye laptop yake images za watoto wadogo mpaka miaka miwili wakiwa uchi akiwa ame download images zaidi ya Elfu tatu

Amebaka sana ameshiriki ngono kwa underage
Hakuna ubaguzi hapo bali alitenda madhambi yote
Kuna watu washenzi sana hivi unaanzaje kuwa na mapenzi ya kuangalia uchi wa mtoto wa miaka miwili au mitatu kama sio sicko?

Jeffrey Epstein alikuwa mweupe kafa na dhambi zake na alikuwa rafiki mkubwa wa Prince Andrew na watu wamemchukia Andrew kuwa na rafiki wa hivyo
Nae alikuwa na kesi kama hii hii ya Kelly na alihukumiwa miaka 20 jela na baadae kukutwa kafa jela ya Manhattan
Mkuu kwenye kubaka hapo sijakuelewa [emoji849][emoji849][emoji848][emoji848][emoji1745]

Hao Malaya si wazazi wao waliwaleta kwake? Kwani Walilazimishwa?

Kuhusu kuangalia images za watoto wakiwa uchi bila kuwafanyia vibaya shida iko wapi?

Halafu hizi kesi kwa blacks zinafanana sana recall MJ na case zake za molestation wakati hata jamaa alikuwa hadindishi[emoji1745][emoji849]...badae wanasema hana hatia while too late wamempa depression ya kufa mtu , hatimae akafa...

Hata hii ya R.Kelly lazima kuna madudu tu , hii case haijanyooka
 
Hata Mimi nilihofia issue ya Aliyaah maana ni ngumu. Alifoji vyeti ili amuoe na alikuwa kama ana miaka kama 14 au 16
Na bado sex tape iliyovuja [emoji2363][emoji2363]

Jamaa wamemmaliza Ila sitoacha kusikiliza nyimbo alizoimba na alizoandika. He was a genius
Eti hajui kusoma wala kuandika hapo ndo nachoka mimi [emoji3166][emoji3166]
 
Back
Top Bottom