Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Acha wamshikishe adabu, huyu angelikua enzi za akina OSMAN wangemzima mazima mammae
Nakaziaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wamshikishe adabu, huyu angelikua enzi za akina OSMAN wangemzima mazima mammae
Unajua hili la RK limeanza zamani sana nafikiri tulianza kujua 2007
Alikuwa anawalaghai wasichana wadogo na kuwapeleka kwenye locations tofauti tofauti na kuwa abuse
Kweli alikuwa na masharti yake akiyaita Rob’s Rules ukikiuka anabaka anawafanya anavyojua yeye na kuwaadhibu haswa
Wengi walikuwa ni Blacks na mostly underage girl and boys
Kuhusu picha za watoto wadogo wakiwa uchi
Hili linakera sana
Binadamu wengine huwa wanafanya na kupenda mambo ya ajabu sana kama jirani zetu wao wamevunja rekodi kwa kutembea na wanyama Na hata kuku
Hivi kweli kama kwa mfano unamkuta baba zima linamuangalia mtoto wa miaka mitatu uchi wake utafanya nini
Sasa hili halina tofauti na ku download picha za uchi za watoto wadogo tena infants
Kuna mda fulani walikamatwa hapa [emoji636] watu 2 mwanamke na mwanaume wakijifanya wauguzi toka hospitali wakifuatilia wanawake wenye watoto wachanga mpaka wajue wanaishi wapi
Halafu wanaenda ku visit wanajitambulisha kuwa wanapeleleza kama watoto wamekuwa abused
Wanaomba picha kama wakiwa wanaogeshwa au hata kuwaambia Kina mama wawavue nguo watoto ili waangalie majeraha
Lakini hawaishii hapo wanaomba kupiga na picha watoto wakiwa uchi eti zikachunguzwe kwa umakini kama kuna majeraha yaliyopona
Baada ya hapo wanaziuza kwenye mitandao na wapo washenzi kama hawa ndio wana download hizo picha
Ila hao wawili walikamatwa baada ya kushtukiwa wanachofanya
Kelly he’s guilty as sin na anastahili kifungo
Tena wanaweza kumuuwa jela just wait
Nilikuwa napenda sana nyimbo zake ila kwa aliyoyafanya ni mabaya sana na binadamu anaweza kufika mbali kwa fantasy
Mkuu kwenye kubaka hapo sijakuelewa [emoji849][emoji849][emoji848][emoji848][emoji1745]
Hao Malaya si wazazi wao waliwaleta kwake? Kwani Walilazimishwa?
Kuhusu kuangalia images za watoto wakiwa uchi bila kuwafanyia vibaya shida iko wapi?
Halafu hizi kesi kwa blacks zinafanana sana recall MJ na case zake za molestation wakati hata jamaa alikuwa hadindishi[emoji1745][emoji849]...badae wanasema hana hatia while too late wamempa depression ya kufa mtu , hatimae akafa...
Hata hii ya R.Kelly lazima kuna madudu tu , hii case haijanyooka
Huyu bado wanamfungaga tu..
Halafu hao wanawake vikiwa vibibi vinaenda kukiri vilitoa ushahidi wa uongo.
Mfano:
Kuna dogo mweusi miaka huko marekani alikua mbabe mbabe tu.
Pale mtaani wanakaa na wazungu na jirani mmoja ana mabinti mapacha.
Wakamuundia kesi ya ubakaji jamaa akala mvua Maisha.
Baada ya miaka 30 wale mabinti wakaenda wenyewe kusema hawakubakwa ulikua uongo.
Wanaomba reconciliation na wamlipe yule jamaa na aachiwe.
Yule jamaa alisema sitaki mnilipe,
Nawasamehe ila sitasamehe maisha.
Nataka nitoke tu nikakae na mamangu dakika za mwisho.
Basi.
Akatolewa.
Ila ye mzee,mamaake kibibi,vile vibinti vizee bahati nzuri walikua wanaishi wakasameheana.
Polepole ana miaka 60 sasa so atakuwa na miaka 90 mavi yake
Ubake afu usingizie ngozi
Half kuna wapumbavu eti wanakuambia freemason mtu afanye ubakaji half wasinginzie vingine
Mtu yeyote anayegusa watoto hata kwa utani achukuliwe hatua kali tena kufungwa adhabu ndogo wangekuwa wananyongwa
Hata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule
Remission 2/3 upunguziwa kifungo chake.... Lakini wako wajuzi zaidi, watafafanua..Hivi na America nao wanahesabu hivi?
Remission 2/3 kifungo upunguzwa..Sio America tu hakunaga kitu kinaitwa day and night duniani kote
2/3 ndio kiasi gani mkuu? 1/2 nusu, 1/4 robo, je! 2/3 ni kiasi gani?Remission 2/3 kifungo upunguzwa..
He was??baada ya kufungwa ugenious umeisha??Hata Mimi nilihofia issue ya Aliyaah maana ni ngumu. Alifoji vyeti ili amuoe na alikuwa kama ana miaka kama 14 au 16
Na bado sex tape iliyovuja [emoji2363][emoji2363]
Jamaa wamemmaliza Ila sitoacha kusikiliza nyimbo alizoimba na alizoandika. He was a genius
He was??baada ya kufungwa ugenious umeisha??
Huyu jamaa ni mwamba,kwenye music.
Huko hkn hcho kitu atakula total 30 hkn namnaAkimaliza kifungo atakuwa na miaka 70.
55 umri alionao
30 day and night =15..
Tumuombe amejutia na kutubu makosa yake..
Safi [emoji122]He still is mkuu
Kmmk wazungu hawakwepeshi yaaaniSafi sana akafie jela
Kwa wasiojua tu huyu jamaa alikutwa kwenye laptop yake images za watoto wadogo mpaka miaka miwili wakiwa uchi akiwa ame download images zaidi ya Elfu tatu
Amebaka sana ameshiriki ngono kwa underage
Hakuna ubaguzi hapo bali alitenda madhambi yote
Kuna watu washenzi sana hivi unaanzaje kuwa na mapenzi ya kuangalia uchi wa mtoto wa miaka miwili au mitatu kama sio sicko?
Jeffrey Epstein alikuwa mweupe kafa na dhambi zake na alikuwa rafiki mkubwa wa Prince Andrew na watu wamemchukia Andrew kuwa na rafiki wa hivyo
Nae alikuwa na kesi kama hii hii ya Kelly na alihukumiwa miaka 20 jela na baadae kukutwa kafa jela ya Manhattan
Kmmk wazungu hawakwepeshi yaaani
Duuh haya mkuuUnajua hili la RK limeanza zamani sana nafikiri tulianza kujua 2007
Alikuwa anawalaghai wasichana wadogo na kuwapeleka kwenye locations tofauti tofauti na kuwa abuse
Kweli alikuwa na masharti yake akiyaita Rob’s Rules ukikiuka anabaka anawafanya anavyojua yeye na kuwaadhibu haswa
Wengi walikuwa ni Blacks na mostly underage girl and boys
Kuhusu picha za watoto wadogo wakiwa uchi
Hili linakera sana
Binadamu wengine huwa wanafanya na kupenda mambo ya ajabu sana kama jirani zetu wao wamevunja rekodi kwa kutembea na wanyama Na hata kuku
Hivi kweli kama kwa mfano unamkuta baba zima linamuangalia mtoto wa miaka mitatu uchi wake utafanya nini
Sasa hili halina tofauti na ku download picha za uchi za watoto wadogo tena infants
Kuna mda fulani walikamatwa hapa [emoji636] watu 2 mwanamke na mwanaume wakijifanya wauguzi toka hospitali wakifuatilia wanawake wenye watoto wachanga mpaka wajue wanaishi wapi
Halafu wanaenda ku visit wanajitambulisha kuwa wanapeleleza kama watoto wamekuwa abused
Wanaomba picha kama wakiwa wanaogeshwa au hata kuwaambia Kina mama wawavue nguo watoto ili waangalie majeraha
Lakini hawaishii hapo wanaomba kupiga na picha watoto wakiwa uchi eti zikachunguzwe kwa umakini kama kuna majeraha yaliyopona
Baada ya hapo wanaziuza kwenye mitandao na wapo washenzi kama hawa ndio wana download hizo picha
Ila hao wawili walikamatwa baada ya kushtukiwa wanachofanya
Kelly he’s guilty as sin na anastahili kifungo
Tena wanaweza kumuuwa jela just wait
Nilikuwa napenda sana nyimbo zake ila kwa aliyoyafanya ni mabaya sana na binadamu anaweza kufika mbali kwa fantasy
Duuuh mkuu acha kumwita mbwa my crush wangu banaaHata wewe ukikutwa kwenye simu yako una picha za uchi za watoto ni kosa kuna kijana nimesoma nae alikutwa anaangalia picha za uchi sijui alizitoa wapi kafungwa miaka 20 Tabora
Kelly hsingiziwi kitu ni kweli na anastahili ni mbakaji mkubwa mbwa yule